unaongea kama mohamed al sahaf waziri wa sadam huseiniHao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
D nne ndio hutaelewa kabisa. shughuli imeisha hiyoWEst wanahesabu kali sn, wamempa kibinyo urusi kule ukraine, wakatoa somo kwa iran na hezbolah kisha wanamalizia kumtoa assad.
Hizi hesabu kama huna C tatu huwezi kuelewa
hizo nguvu walitakiwa wazipeleke iranSioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
US ndiye dereva lkn hesabu zake siyo Syria.Hii nguvu wanaitoa wapi means someone is helping them,atakua US tu kwakua Assad anasaidiwa na Russia,mashariki ya kati pamechafuka mno
Afurumushwe tu syria,syria imekuwa nchi ya familia ya Assad kuanzia baba yake mpaka yeye wameongoza watuFamilia ya Rais Assad imekimbia nchini Syria wakati ambapo waasi wamebakiza maili 12 kuutwaa mji wa Damascus.
Mke wa Assad na watoto wao wamekimbilia Urusi , huku wanafamilia wengine kama ndugu wa mke wa Assad wakipata hifadhi UAE.
Misri ilikuwa imemuomba Assad aondoke Syria akaanzishe serikali nje ya Syria.
Wanajeshi wengi wa Syria wamekimbilia Iraq.
Hizo nguvu wangepeleka kwa makafiri Israel?hizo nguvu walitakiwa wazipeleke iran
zumbukukuSio
Hizo nguvu wangepeleka kwa makafiri Israel?
Bomba Gas kutoka QATARSioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Bomba Gas kutoka QATARSioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Assad ni kiungo muhimu kati ya Iran na HezbollahSioni athari yoyote ya Assad hapo middle east. Sijui kwanini nguvu nyingi zinatumika kumwondoa while he is almost useless.
Russia kitambo tuAssad yupo wapi?
Na kizuizi muhimu bomba la gas kutoka Qatar na UAE kwenda Ulaya kuendelea kumpa Russia economic power na influence Ulaya. Hiyo nimeelewa.Assad ni kiungo muhimu kati ya Iran na Hezbollah
Nimeelewa Kiongozi. Huku sisi tunashadadia dini kumbe huko ni economic power and influence.Bomba Gas kutoka QATAR
Typical mmatumbiHao waasi watapigwa comeback ya hatari. Wanajeshi wa Assad wameenda kukusanya nguvu Damascus soon watakomboa miji yote.
Hao waasi silaha na vyombo wanavyotumia nawaonea huruma maana watateketezwa kama nzi waliopuliziwa dawa ya rungu.
Nani atakayekuwa anachoma? Wewe unazamini story hizo?Mayahud na makafirimtachomeka siku ya kiyamma inshallah
Ee molla wetu tujalie bikra katika zile ulizituahidiaš
Hii counter attack ya ghafla sana!Hali ni mbaya jamaa kaingia mitini
Mbona kama wewe ndiye unahtaj shule kubwa sana, dudus amemuongelea Assad, wewe unaongelea Syria. Sasa hauoni kuwa wewe ndye wenye tatizo hapo?Unahitaji shule kubwa sana kuelewa umuhimu wa Syria. Yaani nchi inatolewa macho na Russia, Iran, US, Israel, Turkey nk. bado hujui yaliyomo?