OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Sasa kama mzushi si mahakama zipo, we una huruma sana na mtoa hoja??!!!Kaka MSALANI, hakika inasikitisha sana uzushi wa Yeriko unaachwa muda wote huu. Wadau wengi wamemuomba athibitishe lakini mpaka sasa ameshindwa kuweka huo ushahidi sana sana anaongeza porojo tu
Mmmmmmm, huyu nae! Alishambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako kidogo, lakini yeye bado du. Hospital zote za wilaya zina X-ray machine, hospital zote za mkoa Tanzania zina mashine ya ct scan na hospital zote za rufaa zina kipimo cha MRI, shule zote za sekondari zina maktaba, kila kijiji kina maji na umeme, huduma ya afya imeamirishwa sana na sasa hakuna haja ya viongozi wa nchi kwenda kutibiwa nje na Nchi ina mpango wa kuwagawia wananchi wake faida iliyotokana na riba kutoka katika akaunti ya ESCROW! VIVA Hey! Screw!Hayo ni mawazo yako yalipotoka mnona slaa alishindwa kupata hata kura elfu kumi akashindwa hata kusogea alipokuwa amesimama jk ni kiongozi hodari ndiyo maana kwa sasa tanzania haipo kwenye kundi la nchi 25 maskini duniani wakati2010 tulikuwa katika nchi kumi maskini soma hapa.
Hivi Riziwan aliwahi kumfungulia Dr.Slaa mashtaka vile!
hahahahahahahaaaaaa! Mwambie Dr Slaa aache uzinifu na badala yake aoe ili aishi maisha ya Ndoa. Kama dini ni kikwazo, anaweza kubadili ili apate haki yake ya kuishi maisha halali ya ndoa. Ndoa tamu jamani. Uzinifu haufai. Ni laana kwa Mungu na huondoa baraka ya maisha. Mambo mengine Dr Slaa anajitakia mwenyewe, pengine angeoa mpaka sasa angekuwa Presidaa wetu
Huwezi kuhonga watu wasio na influence. Halafu wakusaidie kwa lipi wakati hawana timu nyuma yao?
Ndio maana kile kipengele cha maadili na uwajibishwaji wa viongozi wakiwa madarakani kilifutwa faster kwenye katiba pandikizi!!!!!
Mwisho wa hii mijizi hauko mbali sana
Kweli nimeamini hakuna kazi ngumu duniani kama kufikiri, kwani kila mmoja anafanya kazi kwa kutumia kichwa chake mwenyewe na hapa ndipo utajua ugumu wake mtu akishamaliza kazi yake ya kufikiri akaitoa hiyo kazi yakembele ya hadhara mwenyewe akiamini ni kazi bora kuliko za wenzake. Duh!Unakataa nini kuwa siyo familia ya jk huoni hapa baba anawagawia juice watoto wake sijui unabisha nini wewe mbugila.
View attachment 200997
Duh! Sina hakika kama ulichoandika ni sahihi
1. Sio sawa Pasco uandishi haumaanishi lololte linapokuja suala la kuhoji " degree of truth and validity" sababu uandishi ni fani na kipaji kama mtu hana fani wala kipaji hii haimaanishi ina compromise "degree of truth and validity" ya anachokisema ndio maana polisi unahojiwa ila anaandika anayejua kuandika unachokisema. Mathalani nyi mnaoitwa waandishi wengi wabovu saaanaaaa kuanzia composition mpaka eloquence!! Kama ni hoja basi tuhoji ukweli wa habari husika!
2. Kuhusu umri sawa kisheria ulivyosema lakini kama habari hiyo ni kweli kwa kiasi chochote kile haiwezi kumuacha huru kama unavyo wish mtajwa mkuu hata kama jina na umri wa wahusika viko wazi "socio-cultural-political-human" domains haziwezi kuachia moral and humane consciousness huru tu kwa hoja zako!!
Issue hapo ni kiasi gani habari hii ina ukweli????!!!