Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Sawa! Ila umeangalia zaidi kwenye pesa, je ni kweli pesa ni kila kitu kwa watoto?
 
Kumbe Regina hahusiki kwenye kuendesha IPP,

Umehadithiwa au upo kwenye management, kama haupo kwenye management na hufanyi kazi IPP, hayo unayoyaongea ni hear says maana nachojua Regy kaanza kuingia toka mzee wake yupo hai na
sawa demu wa regy, unawashwawashwa sana na klyn, hakuwa sehemu ya mada ila umemwingiza, ulitamani kuwa yeye?
 
yes uko sahihi.
Na kwa mgao huo, wamefurahi kimya kimya kufa kwake.
kwani wasingeweza kupata pesa nyingi kihivyo.
 
Familia ya Bw. Machache je?
Ni tabia tu za watu wala havihusiani sana na umasikini.
 
Ndivyo walivyo amua kuzigawa hivyo
Ina maana zama angezaa watt wa4 angeondoka karibia na pesa yote duh
Hahahaaa...wengine wanatamani nao wangezaa watoto wawili au zaidi!
Yaani zimegawanya Kwa idadi ya watoto nadhani itakua statement ya urithi ndo inasema hvyo
 
Familia ya Bw. Machache je?
Ni tabia tu za watu wala havihusiani sana na umasikini.
Binafsi Mimi ndio ningekuwa mMoja wa watoto wa Bwana Machache, ningefanya kama walivyofanya. Siwezi kuwalaumu najua wanachopigania.
 
Wengine tuna mitambo ya kutotolesha baba mpaka mimba tunaziogopa na nimeanza kuzaa ndani ya 30 hapa mimba 2 watoto 5
 
Wengine tuna mitambo ya kutotolesha baba mpaka mimba tunaziogopa na nimeanza kuzaa ndani ya 30 hapa mimba 2 watoto 5

Hongera sana Yaelekea umepiga mapacha dabo dabo.. mimba moja watoto watatu na mimba nyingine watoto wawili

Nipe na mie nioe mdogo wako. Maokoto yapo ya kutosha tu.

Napenda sana watoto
 
Hongera sana Yaelekea umepiga mapacha dabo dabo.. mimba moja watoto watatu na mimba nyingine watoto wawili

Nipe na mie nioe mdogo wako. Maokoto yapo ya kutosha tu.

Napenda sana watoto
Mdogo angu yuko 30 nawe unataka wa 20 hana vigezo kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…