Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Mimi sio mwanafamilia wa Ruge...
Nabaki na ninachokiamini na wewe baki na unachokiamini.
But as far as circumstantial evidence zilizopo na fact ambazo watu wa karibu waliziongea wahusika wa karibu including Nandy mwenyewe plus KIPAUMBELE alichopewa kwenye msiba naamini nnachoamini as for you GO ARGUE WITH YOUR KEYBORD na kama una mali za kueleweka basi endelea kusambaza mbegu
 
Sina uhakika maana mimi nimeokota huko duniani plus nimeona ona comments kwa mama ulisi za wananzengo, pia kuna video kwa baby mama mmoja wakiwa wote watatu kwenye range ya Mrs ulisi nadhani itakua ndo ishu hiyo.
Ile siku hata Mimi nilipowa ona pamoja nikajua wapo kwenye ishu ya maokoto 😂😂😂😂
 
HUyu mwachi ni dj pale tips sijui kama bado yupo mpaka leo
 
Unakaa kusubili mume afe akuachie mali tafuta zako kama wanawake wengine, usigeuze watoto mtaji,
 
Unakaa kusubili mume afe akuachie mali tafuta zako kama wanawake wengine, usigeuze watoto mtaji,
Kwenda huko na wewe.... sperm donors mnapenda kujitetea.
Mtoto ni wa baba na mama sawa?
So malezi ni pande pili kama una akili timamu.
Hao watoto hata baba yao alivyofariki walikua wanakula, wanavaa, wanalala na wote wanasoma shule nzuri.
Urithi wa baba yao umewaongezea mama zao walipoishia, umewapunguzia mama zao makali ya kulea wenyewe, na kama mama zao watazitumia pesa vizuri basi wataongezea watoto wao opportunities za kutusua kwa upana zaidi.

Wababa responsible oyeeeeeeeeee...........
 
sio mbaya!bil 2 kwa watoto sita kila mtoto kaondoka na mil 333.333
 
wanawake wavivu hufikili kama wewe jifunzeni kujitegemea sio kukaa kusubili mali za urithi,
 
Natamani kila mtu angekuelewa ulichosema hapa.
Siyo Bilionea tu, Chukua na ya Mzee wetu wa Machame jinsi ambavyo mlimbwende anataka kusambaratisha ukooo. Married women are ...
 
Hivi kwa nini mnawazaga .wanaume kutangulia kufa kabla ya mwamke[emoji24]
 
Source ya unachokipngea? Au unatuokotea gossips za mitandaoni zisizo na ushahidi?

Moderator
Badala ya kuendeleza baba yao alipoishia wao wanauza wanaanza na moja, ndo maana umaskini africa hautaisha[emoji1][emoji1]


Ni balaa. Watoto 6. Wa mama tofauti watano.

Wanawake watano wanaanzia wapi kupatana kuendeleza kitu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…