Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

Nimeongelea budget yao ya chakula na matumizi ya eneo la ekari tano sijaongelea vipato vyao vingine.

Sijasema hata watoto wanne wanasoma shule gani inawezakeana wakawa wanasoma Feza na baba ni Mkurugenzi wa Shirika.
Ndo useme Sasa usilete vitu nusunusu..😂
 
Farm homesteading...kibongo bongo bado haijaeleweka kivilee ..binafsi nimejionea wazee kwa vijana kadhaa waliokacha urban life wakaenda nje kabisa ya miji . Nami nilishaanza kidogo kidogo kujitengenezea sehemu ila nikajikuta nimesogelewa na mji, Sasa nimepata sehemu ipo km 30 toka mjini ambapo ni 1.7km toka Barabara kuu njia inapitika muda wote ingawa kuna korongo moja tu korofi nishalitafutia mistimu ya tanesco iliyobadilishwa..nikiweka tu daraja baaas mjini nitakuja kusalimia mara moja moja. I plan to retire at 50 by God's mercy.
 
amepiga hesabu vibaya, awe makini wazee wa uchumi hatujalala. Arudie kupiga hesabu vizuri
 
...Hebu kaniletee Chipsi Kavu hapo kwenye kona?...
 
Nyama ya kuku inakinai mapema.
 
Stori za Sky wewe huzijui?

Kana stori tamu sana na nzuri ila always akili za kuambiwa changanya na zako [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
N
Kilankitu nimekamilisha ila.mke kagoma.hataki tuhamie shamba
 
Stori za Sky wewe huzijui?

Kana stori tamu sana na nzuri ila always akili za kuambiwa changanya na zako [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Poa tu kikubwa tuosha kwa furaha Mm yangu ya kweli ukitaka katibu sana mkata Handeni uje ujionee mitiki ekari45+ dairy farm mbuzi makazi nk
 
Kuishi porini principal ya kwanza ni kunua vitu jumla, vya wiki na vya mwezi. Huwezi kuchoma mafuta kisa huna kibiriti.
Hii ishanitokea mwaka 2018 tulipo hama mjini na familia. Kuna siku kibiriti kililowa na mvua, ikabidi ustaarabu wa kuwasha gari kwenda kufuata kibiriti nilichoka aisee.. afu kingine mtu akiwa anarud jion anapiga simu mapema kama kuna mtu anataka mahitaj. Ingekua zamani vocha za kukwangua mbona tungenyooka
 
Ukiamua haya maisha vibiriti unanunua kama 20 na vikibaki vitatu unakumbuka kuongeza. Kama ni mnywaji beer unanunua sanduku mbili na wine zako. Ukitoka kwenye kazi za shama jioni unajipongeza.
 
Ni kweli kabisa,kuna shamba huko masaki.tunaenda nalo Mdogo mdogo. Bado sijafkiria kwenda kukaa huko labda badae sanaa.nikifkiria hao majambazi tu
 
Ni kweli kabisa,kuna shamba huko masaki.tunaenda nalo Mdogo mdogo. Bado sijafkiria kwenda kukaa huko labda badae sanaa.nikifkiria hao majambazi tu
Inategemea na uwekezaji wako uko vipi. Kama ni ekari 20+ jenfa nyumba za vibarua kama tatu, utajua na uhakika wa nguvu kazi shambani pia na ulinzi.

Kua na urafiki na OCD wa eneo lako ikiwenzekana I upate namba yake ya simu.
 
Hujamwelewa! Kuku 200 ni mtaji ambao hauliwi. Wanaoliwa ni wale wanaotokana na mtaji huo. Sasa kama unawala wataendeleaje kuwa 200?
 
ww unapenda tu bata huna lolote mjini kuna bata sana unachagua tu uende wapi weekend hii🤣🤣🤣
 
Kila siku wanachinja kuku mmoja kutoka banda
Hapo ndipo amekulisha matango pori, kuku 200 afu kila siku wanachinja mmoja kwa ajili ya kitoweo. Pia kumbuka mwaka una siku 360😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…