Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

Familia ya watu 10 kutumia milioni 3 kwa mwaka kwa manunuzi ya vyakula

Nimeongelea budget yao ya chakula na matumizi ya eneo la ekari tano sijaongelea vipato vyao vingine.

Sijasema hata watoto wanne wanasoma shule gani inawezakeana wakawa wanasoma Feza na baba ni Mkurugenzi wa Shirika.

hao kuku wanaochukua na kuchinja ungeweka na bajeti ya kuwahudumia.
Gharama za kupanda na kuhudumia hizo mbogamboga wanazochuma na kuzipika.
umeongea kileimani sana kiufupi umeposti utumbo
 
nyie watu mnacheza nyie ukae porini na ndinga lako kali la four wheel majambazi yakuache tu labda uwe mchawi hapooo kimala tu yana sumbua je huko porini je?
 
Back
Top Bottom