EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Jibu la swali lako umeshajibu hapa dada.Ili watambulike kwao na hata sasa wanaishi kwao bwana yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu la swali lako umeshajibu hapa dada.Ili watambulike kwao na hata sasa wanaishi kwao bwana yule
Si ndio hapo,na ndio jambo silitak,mpenzi niliyenaye sijamwambia,kwakua nilikuja kula eid na watoto ndio wazazi wa bwana yule wakanipa taarifa hiyo,yeye anajua mipango ya kuwachukua watoto tu.
Nimesoma comment nilipomaliza nahitimisha umeshafanya maamuzi ya kuwachukua ila fahamu kwao ni Kwa bibi Yao na baba yao, hapo unapotaka waishi ni kwako , hao watoto wanaenda kukosa identity kwa kuishi na baba wa kambo .Bora likizo waje kukusalimia italeta maana , pia fidia ilipwe ili wawe na urithi(kutambulika rasmi)kwao . Go west , go east home is the best.Habari za eid pili waungwana,
Iko hivi, nimejaliwa kuzaa watoto wawili wa kiume na bwana mmoja. Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo, hatukuoana na huyo bwana. Watoto wote nilikuwa naishi nao kwangu, huku tukisaidizana malezi. Yeye alishaoa kama miaka mitatu nyuma.
Kama miaka miwili nyuma nilipata changamoto kazini na mambo mengi yalitokea upande wangu hivyo sikuwa stable kuendelea kuishi na watoto. Tulipojadiliana pande zote, wazazi wake wakasema niwakabidhi watoto wawalee hadi hapo nitakapo kuwa sawa.
Basi watoto nikawapeleka kwao, nikawa na still huwa naenda kuwatembelea pindi nipatapo nafasi pamoja na kuchangia gharama za ada na mahitaji mengine ya watoto.
Muda umeenda, nimerudi kwenye fomu, na nimeona nahitaji kuwachukua watoto niwalee sasa, yaani niishi nao huku nilikohamia kikazi. Wazazi wake bwana yule wamekuja na wazo kuwa, familia yao imeamua jamaa anitolee mahari kwa mujibu wa mila zao, so wamenambia niifahamishe wazee wangu ili taratibu zifanyike.
Binafsi sijaafiki suala hilo, kwani jamaa alishaoa na kashazaa watoto wengine wawili kwa mkewe. Hata mila za kwetu haziafiki jambo hilo, isitoshe mimi niko na mtu wangu ambaye tuna plan zetu za hapo baadae kidogo, naona kama ni mbinu ya kunizuia kuchukua wanangu.
Hebu mnipe ushauri wadau, namna gani naweza kuwachukua watoto bila kuleta mikwaruzano?
Point nzito sana aisee hiiWewe nani kakuambia mbingu hazikupanga muonane,vitu vya kuongozwa na hisia vikishaletaga matokeo ndio mnasingizia ni mbingu zimetaka....kaa kwa kutulia hapo inaonesha umeanza kupata ka kiburi ili ukazalishe mikwaruzo kwenye ndoa mpya....maana humpendi huyu bwana mpya bali unataka ukajistiri kwa jina la ndoa,
Mmmmmmhmn hilo toleo la wanaume vilaza liliacha kutolewa miaka ya 1980. Kuanzia miaka ya 1990 kulitolewa toleo jipya la wanaume ambao upuuzi wa kuwekeana mitego ya malezi ya watoto wa wanaume wengine hauwaingii.Wanaume gani hao wasiopenda watoto wa kambo...hiyo sample size Yako ndogo mno...labda ni wewe! Wanaume wakipenda wanapenda mazima!
Wanazaa tu kama kuku wa amadoli. Yaani anaona kabisa kuwa huyu mtu mimi hajaniposa kwetu hatujaweka mazingira ya kuishi pamoja kama wachumba wanakulana kihuni tu then mtu huyu anakwenda kujishikisha ujauzito tena sio mara moja, mara mbili zote. Halafu anakuwa single mother ndio anajifanya anajua taratibu za kufuata.Dah wanawake bhana ni wabinafsi, eti wamemzuia kuchukua watoto wake, au uliwapata na mchepuko, siyo wa huyo jamaa, ila ulimpa akupige tafu kwenye malezi.
Hii ni kwa wote kwanini usifunge ndoa kwanza ndiyo mpate watoto na siyo watoto kwanza then ndoa.
Kwann ukazaa nae halafu ndio uanze kutafakari hayo maneno unayosema, why haukufikiria mapema wakati mnaenda Lodge kupigana miti.Mimi niliamua kukaa pembeni baada ya kumfumania na kugundua hatuna malengo /ndoto sawa za maisha.
Me swali langu bado nakuhoji kuwa ilikuwaje ukafanya maamuzi ya kulala na kuzaa na mtu ambaye ana familia yake ulikuwa unatarajia nini kitokee. Kwamba atabonyeza delete familia yake itatoweka utaenda kukaa wewe?Ndugu yangu kwahiyo nibaki singo for the rest of my life?[emoji1787][emoji1787]ndugu mie bado kijana,baba yao yupo ila anafamilia yake tayari,so hakuna tabu katika hilo.maisha lazima yaendelee.
Takataka kabisa hawa viumbe wacha tu wawe wanasemwa vibaya."Watoto wote nilikuwa naishi nao kwangu, huku tukisaidizana malezi. Yeye alishaoa kama miaka mitatu nyuma".
"wazazi wake wakasema niwakabidhi watoto wawalee hadi hapo nitakapo kuwa sawa".
Nimejifunza kuwa, ni kweli kwa 101%, single mother hawaachani na watu wao. Kuoa single mother tegemea mikiki mikiki kama hii.
Hebu fikiria sasa ndio umemuoa halafu mwenzio anakua na stress za mwenzie kama hivi.
Ovyo kabisa
Hizi ni kauli ambazo zinakupa ishara huwa huko mbeleni huyu mwanamke atakuwa bado analeta mazoea na huyu jamaa na pengine wanaweza kuendelea kwa usiri.Baby dady sio.
Ungekuwa unataka kuwapa watoto malezi bora usingewaweka katika situation ya baba huku mama kule. Huo ni unafiki tu unavyojaribu kujielezea kuwa unafanya hivi kwaajiri ya watoto. Sio kweli.Haipo hiyo najiheshimu na tushakuwa watu wazima sasa,tunafocus kuwapatia watoto malezi Bora kwa wote kuwajibika[emoji120]
Watoto ni wa mwanaume, wewe ulikuwa kama begi LA kuwabeba. Tangu lini ukasikia begi linadai madaftari ni ya kwake. Madaftari ni ya mwenye begi,therefore watoto ni wa mwanaume. Ulitumika kama kifungashio.🤣🤣Wakwangu
Ni suala la msamiati. Sidhani kama ni mahari bali ni fine ya "kukuharibu". Makabila mengi wana huo utaratibu kwa mwanaume ambae amemzalisha mwanamke kabla ya kumuoa. Mahari inaendana na posa ya kukuoa. Kama hawajatoa posa, hawawezi kutoa mahari. Na mahari inapangwa na aliyetolewa posa ( labda kama wewe ni mhindi) na sio anayetoa posa. Hata hii faini ilitakiwa ipangwe na upande wako na sio wao kujiamulia. Ni wazo jema lakini ungehusisha familia na mkubaliane kuhusu hatma ya watoto wenu.Kwa upande wangu itaniharibia,we mtu wangu akijua nimetolewa mahari na baby dady atajisikiaje?
Ila mi sijaelewa hapa,hivi kutolewa mahari ndio ndoa?Kubali utolewe hiyo mahari utakuja kunishukuru.
Ila ukishalipiwa hiyo mahari hiyo Ndoa ya jamaa inaenda kutingishika au Kuna kitu hukijui kinaendelea.
Jiandae kuwa mke Sasa na punguza au acha barabara kupitika hovyo na huyo The Mr Nice guy.
Mkuu,una hasira[emoji23][emoji23]Wanazaa tu kama kuku wa amadoli. Yaani anaona kabisa kuwa huyu mtu mimi hajaniposa kwetu hatujaweka mazingira ya kuishi pamoja kama wachumba wanakulana kihuni tu then mtu huyu anakwenda kujishikisha ujauzito tena sio mara moja, mara mbili zote. Halafu anakuwa single mother ndio anajifanya anajua taratibu za kufuata.
Matoto ya kike ya siku hizi ni majinga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kimila Mwanamke akishalipiwa mahari ndio tayari kashaolewa huyo, kinachobaki ni sherehe tu.Ila mi sijaelewa hapa,hivi kutolewa mahari ndio ndoa?