Familia yake wanataka kunitolea mahari

Watoto hawskombolewi mkuu
 
Dah wanawake bhana ni wabinafsi, eti wamemzuia kuchukua watoto wake, au uliwapata na mchepuko, siyo wa huyo jamaa, ila ulimpa akupige tafu kwenye malezi.

Hii ni kwa wote kwanini usifunge ndoa kwanza ndiyo mpate watoto na siyo watoto kwanza then ndoa.
 
Yes, na huwa haiitwii mahari, bali ni kukomboa watoto kwa mujibu wa mila, tamaduni na desturi nyingi.

Mi nakushauri watoto ukae nao wewe angalau waambulie malezi ya mama, maana ninavyosoma btn lines hawaendi kuishi kwa baba.
 
 
Ila watu wa zamani walikuwa wabunifu sana kwenye hii inshu ya maisha,unaweza kuta mama anaishi na watoto wake pamoja na wajukuu kwa kuuza ndizi tu na hadangi na hadi anajenga

Lakin vijana wa siku hz wanapenda sana kurudisha mpira kwa kipa
 
Over my dead body siwez kuruhusu mwanangu kuish kwa mwanaume mwingne nikiwa hai,tatizo wanawake wabnafsi sana(baadh),sasa kama watt wanaish kwa bib yao na una access nao shda iko wap?plus unawachukua wakalelewe na house maid na baba wa kambo?hao watoto nina uhakika watateseka mno waache waish kwa bib yao na wew na mzaz mwenzio muwalee pale pale.ova
 
Waambie ukweli kwmba mm ni mchumba wa mtu , kwa hiyo cwezi kuwa na wanaume 2 kuhusu . Kuhusu watoto make chini mjadili nataka ikuambie tu watoto hawagombaniwi. Ikiwa watakaa kukupa achana nao baki kama mama unatuwa unaenda kuwatembelea nk,

Ukiona wanakuambia bora wakutolee mahali tambua ya kwamba mzazi mwenzo yie mwanamke wake wa sasa kuna changamoto kubwa sana ya mahusiano hivyo wakaona bora jamaa arudi nyuma , yaani kukurudia ww
 
Sasa nawaleaje watoto wako mkoa mwingine na mimi mkoa mwingine?yani hapa naonana nao Mara tatu kwa mwaka tu,mie naona haijakaa sawa.
 
Kati yako na yeye,nani alimuacha mwenzake?Nikipata jibu la hapo,nitatoa ushauri wangu
 
Sasa nawaleaje watoto wako mkoa mwingine na mimi mkoa mwingine?yani hapa naonana nao Mara tatu kwa mwaka tu,mie naona haijakaa sawa.
my sister,bora nusu shari kuliko shari kamili!as long as watoto wanakutambua,na wako kwa bib yao mahal ambapo hata usku unaenda,waache pale pale kama ambavyo uliwaacha kipnd una changamoto na hukupata malalamiko!!walipo ndo salama zaid kulko kwako na kwa baba yao
 
Wateseke kivip ilhal nilikuwa naishi nao vizuri tu 🙏 ni changamoto flan ilinipata so sikuwa na uwezo wa kuwalea ndo tukakubaliana niwapeleke kwao hadi nitakapo kaa sawa,ofwhich Niko sawa sasa,so nawahitaj.
 
Wala haikuwa changamoto ya fedha,ni ishu nyingine iliyonithrow off balance,hadi nikahitaj usaidiz wa kulea watoto.
Ila watu wa zamani walikuwa wabunifu sana kwenye hii inshu ya maisha,unaweza kuta mama anaishi na watoto wake pamoja na wajukuu kwa kuuza ndizi tu na hadangi na hadi anajenga

Lakin vijana wa siku hz wanapenda sana kurudisha mpira kwa kipa
 
Yes, na huwa haiitwii mahari, bali ni kukomboa watoto kwa mujibu wa mila, tamaduni na desturi nyingi.

Mi nakushauri watoto ukae nao wewe angalau waambulie malezi ya mama, maana ninavyosoma btn lines hawaendi kuishi kwa baba.
Ndiyo concern yangu kubwa,kuishi na kulea wanangu on daily basis,hivi vya kutuma hela na kuwatembelea once in a while sijaviafiki🙏kwanza hii situation imenifanya nione kama ndio naanza maisha ya kujitegemea,of which is not
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…