Familia yake wanataka kunitolea mahari

Familia yake wanataka kunitolea mahari

Waache watoto waendelee kulelewa na Bibi yao..Wabibi ni Walezi wazuri sana..utakapowachukua means watalelewa na Dada utakapokua kazini of which they will be in highly risk of facing abuse unless otherwise you’re a PROUDLY HOUSEWIFE

HAKUNA MWANAUME ANAEPENDA KULEA WATOTO WA MWANAUME MWENZIE HUSUSANI AKIJUA KABISA MWANAUME MWENZIE YUKO HAI ..YAAN MWANAUME HUYO HAYUPO [emoji375]

Cases nyingi za Child abuse zinafanywa na Baba wa Kambo..don’t dare I repeat don’t dare
Hata Simba halei watoto wasio wake
Sijui hii ni tabia gan?
 
Anacho taka ni kuwagomboa /kuwagomboa /Katika Mila na destul zetu kimsing ulipo pewa mimba ukiwa huja olewa jamaa alipaswa kulipa pesa kwa wazaz wako (kujisifumimba)
kama hili Haku fanya Ata siku ambayo ungeolewa na huyu bwana wazaz wako wange Dai pesa ya makosa (kukuzalisha bila kukuoa)
Sasa kwa vile hakujisifu mimba na hakukuoa Ina mpasa Sasa Kuja kugomboa watoto Hao kwenu na ushauri huu wanataka kufanya ili wapate haki ya kukaa na watoto hao,
Kwa Mira na destul kwa Sasa hao wazaz na huyu jamaa yako Hana saut wala maamuzi na watoto hao Kwan hatambuliki kama baba halal WA watoto hao (nazungumia Mila na desturi)


Hii ndio sababu wanataka kufanya hayo na wakifanya hivyo watoto huto wachukua mikoni mwao labda kwajili ya likizo na mapumiziko mafup ila swala LA malez litabak kwa upande WA mume
 
  • Thanks
Reactions: nao
Tutatoa ushauri wa kila rangi ila kitu cha muhimu ni kuwa hawara hatongozwi, namuonea huruma huyo mtu wako wa sasa anaishi na mke wa mtu.
 
Nakushukuru kwa ushauri wako ila huyu Ironbutterfly ni mbinafsi na hasikii. Options zipo mbili tu. Kushikilia watoto-aachane na huyo bwana. Au ashikilie Bwana - watoto wabaki kwa bibi yao, atazaa wengine
Yan mimi kutaka kulea wanangu kwa ukaribu ndo ubinafsi?we wadhan watoto wakikua halafu wakafahamu nimekuwa siishi nao eti kisa nilikuja pata mwanaume mwingine si wataona niliwatelekeza?
 
Si ndio hapo,na ndio jambo silitak,mpenzi niliyenaye sijamwambia,kwakua nilikuja kula eid na watoto ndio wazazi wa bwana yule wakanipa taarifa hiyo,yeye anajua mipango ya kuwachukua watoto tu.
Ukitolewa hiyo mahali utakuwa mke wa pili. Huyo mpenzi uliyenae yeye anasemaje?
 
Si kweli mawasiliano yote ya watoto nafanya na wazazi wake tu,hata kwenda kuwaona huwa ni nyumbani kwao,na sio kwake🙏
Tutatoa ushauri wa kila rangi ila kitu cha muhimu ni kuwa hawara hatongozwi, namuonea huruma huyo mtu wako wa sasa anaishi na mke wa mtu.
 
Kwa upande wangu itaniharibia,we mtu wangu akijua nimetolewa mahari na baby dady atajisikiaje?
Ungesema kabila la huyo mzazi mwenzio, maana kutolewa mahali kwa makabila mengine ni kukomboa watoto yaani wajulikane kiuhalali hapo kwa sasa wanajulikana ila wakitolewa mahali inakua kisheria zaidi yaani wanarithi Mali za baba yao sawa sawa na watoto walioko kwenye ndoa
 
Yan mimi kutaka kulea wanangu kwa ukaribu ndo ubinafsi?we wadhan watoto wakikua halafu wakafahamu nimekuwa siishi nao eti kisa nilikuja pata mwanaume mwingine si wataona niliwatelekeza?
Miaka 8 ni mvulana au mscichana? na huyo wa miaka 4 ni jinsi ipi? Nataka nikushauri.
 
Ungesema kabila la huyo mzazi mwenzio, maana kutolewa mahali kwa makabila mengine ni kukomboa watoto yaani wajulikane kiuhalali hapo kwa sasa wanajulikana ila wakitolewa mahali inakua kisheria zaidi yaani wanarithi Mali za baba yao sawa sawa na watoto walioko kwenye ndoa
Hata iwe kabila gani? Mahari inalazimishwa na upande wa mwanaume au upande wa mwanamke ndiyo wanapanga na kudai mahari! Hili uliliona wapi?
 
Ungesema kabila la huyo mzazi mwenzio, maana kutolewa mahali kwa makabila mengine ni kukomboa watoto yaani wajulikane kiuhalali hapo kwa sasa wanajulikana ila wakitolewa mahali inakua kisheria zaidi yaani wanarithi Mali za baba yao sawa sawa na watoto walioko kwenye ndoa
Nshomile🙏
 
Habari za eid pili waungwana,

Iko hivi, nimejaliwa kuzaa watoto wawili wa kiume na bwana mmoja. Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo, hatukuoana na huyo bwana. Watoto wote nilikuwa naishi nao kwangu, huku tukisaidizana malezi. Yeye alishaoa kama miaka mitatu nyuma.

Kama miaka miwili nyuma nilipata changamoto kazini na mambo mengi yalitokea upande wangu hivyo sikuwa stable kuendelea kuishi na watoto. Tulipojadiliana pande zote, wazazi wake wakasema niwakabidhi watoto wawalee hadi hapo nitakapo kuwa sawa.

Basi watoto nikawapeleka kwao, nikawa na still huwa naenda kuwatembelea pindi nipatapo nafasi pamoja na kuchangia gharama za ada na mahitaji mengine ya watoto.

Muda umeenda, nimerudi kwenye fomu, na nimeona nahitaji kuwachukua watoto niwalee sasa, yaani niishi nao huku nilikohamia kikazi. Wazazi wake bwana yule wamekuja na wazo kuwa, familia yao imeamua jamaa anitolee mahari kwa mujibu wa mila zao, so wamenambia niifahamishe wazee wangu ili taratibu zifanyike.

Binafsi sijaafiki suala hilo, kwani jamaa alishaoa na kashazaa watoto wengine wawili kwa mkewe. Hata mila za kwetu haziafiki jambo hilo, isitoshe mimi niko na mtu wangu ambaye tuna plan zetu za hapo baadae kidogo, naona kama ni mbinu ya kunizuia kuchukua wanangu.

Hebu mnipe ushauri wadau, namna gani naweza kuwachukua watoto bila kuleta mikwaruzano?
Usikubali familia ikulipie mahali. Tafakari haya;

1. Hujui msimamo wa baba wa watoto wako

2. Unujua msimamo wa jamaa yako wa sasa kuhusu hilo?

3. Huko unakolipiwa mahali, unaenda kuolewa mke wa pili?

4. Mke aliyeko huko kwa baba wa watoto wako, anajua chochote juu ya jambo hilo?

5. Mke anayeishi naye baba wa watoto wako, anajua uwepo wa watoto wako?
 
Habari za eid pili waungwana,

Iko hivi, nimejaliwa kuzaa watoto wawili wa kiume na bwana mmoja. Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo, hatukuoana na huyo bwana. Watoto wote nilikuwa naishi nao kwangu, huku tukisaidizana malezi. Yeye alishaoa kama miaka mitatu nyuma.

Kama miaka miwili nyuma nilipata changamoto kazini na mambo mengi yalitokea upande wangu hivyo sikuwa stable kuendelea kuishi na watoto. Tulipojadiliana pande zote, wazazi wake wakasema niwakabidhi watoto wawalee hadi hapo nitakapo kuwa sawa.

Basi watoto nikawapeleka kwao, nikawa na still huwa naenda kuwatembelea pindi nipatapo nafasi pamoja na kuchangia gharama za ada na mahitaji mengine ya watoto.

Muda umeenda, nimerudi kwenye fomu, na nimeona nahitaji kuwachukua watoto niwalee sasa, yaani niishi nao huku nilikohamia kikazi. Wazazi wake bwana yule wamekuja na wazo kuwa, familia yao imeamua jamaa anitolee mahari kwa mujibu wa mila zao, so wamenambia niifahamishe wazee wangu ili taratibu zifanyike.

Binafsi sijaafiki suala hilo, kwani jamaa alishaoa na kashazaa watoto wengine wawili kwa mkewe. Hata mila za kwetu haziafiki jambo hilo, isitoshe mimi niko na mtu wangu ambaye tuna plan zetu za hapo baadae kidogo, naona kama ni mbinu ya kunizuia kuchukua wanangu.

Hebu mnipe ushauri wadau, namna gani naweza kuwachukua watoto bila kuleta mikwaruzano?
"Watoto wote nilikuwa naishi nao kwangu, huku tukisaidizana malezi. Yeye alishaoa kama miaka mitatu nyuma".


"wazazi wake wakasema niwakabidhi watoto wawalee hadi hapo nitakapo kuwa sawa".

Nimejifunza kuwa, ni kweli kwa 101%, single mother hawaachani na watu wao. Kuoa single mother tegemea mikiki mikiki kama hii.

Hebu fikiria sasa ndio umemuoa halafu mwenzio anakua na stress za mwenzie kama hivi.

Ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom