Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Tusitishane Jose, kumkataa au kumkubali mtu ni mtazamo, na hii inategemea na upeo wa mtu.Asiyesikia la mkuu.
Mimi binafai hakuna mtu wa kunizuia kuoa au kumpenda mtu.
Furaha itakuwa ni yangu na mateso ni yangu.
Mke si mali ya familia.