Familia yangu imenigomea nisimuoe mpenzi wangu sababu wanahisi nitakuja kuteseka

Familia yangu imenigomea nisimuoe mpenzi wangu sababu wanahisi nitakuja kuteseka

Ndugu zangu huyu binti nimetoka nae mbali sana zaidi ya miaka 5 tupo katika mahusiano na mimi ndo ninamjua vizuri sana.

Ila shida inakuja familia yangu imenigomea kumuoa huyu binti kwa kigezo ntakuja kuteseka badae na hii inatokana kuna kauli alipishana na mdogo wangu wa kike katika mazungumzo nae kwenye simu.

Hivyo ikapelekea huyu dogo langu kuwambia wazee wangu yote yaliyojitokeza hivyo hili swala likapelekea wazazi wangu hawataki nimuoe huyu binti kwani wanamuona kama mtu mwenye jeuri na kiburi hivyo atakuja kunipa shida sana hapo badae.

Je nifanye nini ndugu zangu ukiangalia familia yangu imeshamkataa huyu binti hawataki hata kumsikia.

Huyo dada ni mmachame au mchaga?
 
Umekaa kwenye mahusiano na mtoto wa watu for 5 years na still huwezi kufanya decision ya ndoa yako mwenyewe? Mkuu, how old are you?? Just for your interest, wanawake (dada yako being inclusive ) by nature huaga hapendani; lini umewahi kusikia baba ana ugomvi na mkwewe wa KIKE!?

Lini umewahi kusikia mashemeji wa kiume wana ugomvi na mke wa kaka/mdogo wao? Always mama mkwe na wifi/dada! Umempenda, weka msimamo, mwambie dada yako hata yeye ni mwanamke, huenda huko anako date nako hakubaliki, na wanatafuta asikubalike ili asiolewe.

Ni rahisi sana haya kuyaandika ukiwashauri wenzio wayatende lakini na kuhakikishia kwenye uhalisia hata wewe uwezi tenda haya!

Hivi kweli wewe unaweza owa mwanamke asiyetakiwa kabisa kwenu kabisa...utampeleka wapi mtoto wa watu...nyumba gani utaishi ndugu zako hawakanyagi na wazazi hawakanyagi? Ndoa gani utafunga haina ndugu wala wazazi?

Hivi mnafikiri ni rahisi kama mnavyo andika? Hata mitaani mnaona kweli haya yanawezekana mnayo washauri wenzenu?

Ndoa yafaa nini haina baraka za wazazi wala ndugu? Hii ndoa itakuwa mateso makuu kwa huyo binti!
 
Mawifi huwa wanajikutaga sijui nini ...wanataka sana kuabudiwa. Sasa akikutana na kauzu ndo mambo yanakuwa kama hivyo.
Oa kimya kimya kama wanakataa process
Weka mkeo ndani anzeni kuijaza dunia...
Mengine wataelewa mbele kwa mbele wakiona mmekaza.
 
Ukioma familia inaamua uoe au usioe...au umuoe.nani


Kaka

Achana na msichana wa watu usiendelee kumpotezea muda


Maana bado hujapevuka.

Watu hapa watandanganya lakini ukweli ndio huo kuwa tunaoa au kuolewa kwaajili ya familia zetu na ndizo zinaamua!

Hakuna hapa hata mmoja mwenye jeuri ya kuoa au kuolewa bila baraka za ndugu au wazazi ...

Kwanza huyo binti atakuwa nati haziko sawa kama atakubali kuolewa sehemu ambayo wanamkataa hadharani ...kwa sababu hata ndoa haitodumu...

Huyo mtoto wa watu asikubali kuolewa kwenye mazingira hayo lazima watengeneze kwanza

Lazima tukubali ndugu zetu wana nguvu sana kwenye haya mahusiano yetu...
 
Logical kuna taswira yenye kuonyesha viashiria vya wazi kuwa mke mtarajiwa/ mchumba kuwa amefikia ukomo na kushindwa kumstahimili wifi yake, ambaye inaonekana kwa namna moja au nyingine alikuwa anamkwaza kwa muda mrefu sana. Kwa dhana hii ni wazi kuwa mchumba hakuwa na kusudio la kosa bali muhemko.

Hila kwa mtazamo wa lugha ya picha kwa nje, wazi tutamuhukumu mchumba kwa kutokuwa na busara kwa kuwa alikuwa na uwezo wa kutoa kauli isiyo na makasirisho na yenye tija bila mikwazo au viashiria vya dharahu kwa wifi yake.

Pia kwa upande wa dada, ni wazi kuwa mtoa mada hakuweka au kuainisha mipaka kati ya yale yanayomuhusu yeye haswa mahusiano na dada au hata ndugu. Lakini mwisho wa yote umri pia huenda ikawa ni sababu kwa pande zote mbili yaani mchumba na dada.

NB: Wazazi wanaweza kuwa na hoja ya msingi kwa kuzingatia mapokeo na uwasilishaji wa hilo tukio kutoka kwa dada. Kwa hatua uliyofikia na tija ya dhamira yako ni vyema ukakaa chini na wazazi hili mliangalie kwa kina la sivyo itakupa shida sana siku za usoni kama utaamua kuendelea bila kulisawazisha hili mkuu.
 
Ndugu wana nguvu iwapo utaruhusu Mkuu

Ukiwa na msimamo na kuweka mipaka hakuna atakayekuingilia.
Watu hapa watandanganya lakini ukweli ndio huo kuwa tunaoa au kuolewa kwaajili ya familia zetu na ndizo zinaamua!

Hakuna hapa hata mmoja mwenye jeuri ya kuoa au kuolewa bila baraka za ndugu au wazazi ...

Kwanza huyo binti atakuwa nati haziko sawa kama atakubali kuolewa sehemu ambayo wanamkataa hadharani ...kwa sababu hata ndoa haitodumu...

Huyo mtoto wa watu asikubali kuolewa kwenye mazingira hayo lazima watengeneze kwanza

Lazima tukubali ndugu zetu wana nguvu sana kwenye haya mahusiano yetu...
 
Hehehehehe huu mkwara wa kwenye keyboard haujawahi kunitisha shoga wewe,, ukiumia watu kuolewa kaolewe wewe shenzi
Shoga ni baba ako mzazi aliyekuzaa ambaye ndie nampanuaga matako yake
 
Back
Top Bottom