Tusitishane Jose, kumkataa au kumkubali mtu ni mtazamo, na hii inategemea na upeo wa mtu.Asiyesikia la mkuu.
Siku zote mawifi wana gubu, kama hajadharau wazazi jamaa achukue mke harakeKama mama yako anasisitiza, mzingatie. Then tuambie na sisi ni neno gani hilo la kiburi alisema, sio tukushauri wakati story umetupa nusu
Acha ujinga huu mkuu, mkeo alikuwa sahihi, dadako ana kiherehere tuSwala zima ni harusi dogo langu alikuwa anajaribu kuzungumze nae harusi isogezwe mbele kidogo sababu ya changamoto yee akamjibu hilo halimhusu ila nyumbani wazungumze na mshenga ndio atoe taarifa nyumbani basi hapo ndio ikawa ndio sababu nyumbani kumchukia huyu binti
Kwani ni lini waliacha kuoa? Na wewe olewa upunguze maumivuBado kuna watu mnaoa tu
huyu bwana kama utambuzi mdogo kama huu anashindwa, hiyo ndoa ataiweza kweliAcha ujinga huu mkuu, mkeo alikuwa sahihi, dadako ana kiherehere tu
Always fashion haidumu mkuu if you knowukienda na mtazamo huu ndoa yako kudumu itakuwa kazi sana
Swala zima ni harusi dogo langu alikuwa anajaribu kuzungumze nae harusi isogezwe mbele kidogo sababu ya changamoto yee akamjibu hilo halimhusu ila nyumbani wazungumze na mshenga ndio atoe taarifa nyumbani basi hapo ndio ikawa ndio sababu nyumbani kumchukia huyu binti
Una Akili Mingi sanaTuambie kwanza walipishanaje, neno la kiburi gani alisema ili tujue ni figisu au ni kweli
Una Akili Mingi sana
Mwanaume atamwacha Baba na Mama yake, na ataambatana na mkewe. Iliandikwa mahala, sijui unaamini lipi?Ndugu zangu huyu binti nimetoka nae mbali sana zaidi ya miaka 5 tupo katika mahusiano na mimi ndo ninamjua vizuri sana.
Ila shida inakuja familia yangu imenigomea kumuoa huyu binti kwa kigezo ntakuja kuteseka badae na hii inatokana kuna kauli alipishana na mdogo wangu wa kike katika mazungumzo nae kwenye simu.
Hivyo ikapelekea huyu dogo langu kuwambia wazee wangu yote yaliyojitokeza hivyo hili swala likapelekea wazazi wangu hawataki nimuoe huyu binti kwani wanamuona kama mtu mwenye jeuri na kiburi hivyo atakuja kunipa shida sana hapo badae.
Je nifanye nini ndugu zangu ukiangalia familia yangu imeshamkataa huyu binti hawataki hata kumsikia.
Protocol au itifaki ya masuala hayo imekaaje? Mara ya kwanza mlipotangaza uchumba na tarehe ya harusi mlikuwa mnainua simu na kuongea na bibie moja kwa moja?Swala zima ni harusi dogo langu alikuwa anajaribu kuzungumze nae harusi isogezwe mbele kidogo sababu ya changamoto yee akamjibu hilo halimhusu ila nyumbani wazungumze na mshenga ndio atoe taarifa nyumbani basi hapo ndio ikawa ndio sababu nyumbani kumchukia huyu binti
Sasa alichokosea huyu bonti hapa ni niniSwala zima ni harusi dogo langu alikuwa anajaribu kuzungumze nae harusi isogezwe mbele kidogo sababu ya changamoto yee akamjibu hilo halimhusu ila nyumbani wazungumze na mshenga ndio atoe taarifa nyumbani basi hapo ndio ikawa ndio sababu nyumbani kumchukia huyu binti
Yaani hapo inaonyesha familia ya mwanaume wana tatizo......Huyo mdogo wako ana mamlaka gani ya kumuambia mkeo mtarajiwa ndoa isogezwe na isiwe wewe? kwani mwenye mamlaka ya kusogeza ndoa ni nani kati yako na dada yako??
Mpaka mmefika process za ndoa maana yake na mahari imeshatolewa, na kama imetolewa kumbuka naye binti kwao wameshaanza kujiandaa kwa ajili ya ndoa hiyo sasa kuahirisha hilo suala haliko mikononi mwa binti ndio maana mdogo wako kaambiwa waongee na mshenga ndio apeleke taarifa kwenye familia ya bint.
Mdogo wako ameongea ya uongo tu nyumbani ili wazazi wajae sasa hapo mwenye maamuzi ni wewe.