Fani yako inakusaidiaje katika kutatua Kero za Jamii?

Fani yako inakusaidiaje katika kutatua Kero za Jamii?

Mimi ni mzungumzaji tu.

Kuna kero kubwa za hawa serikali za mitaa.
Hawa watu ni wasumbufu.
Siraha yangu huwa ni mdomo tu kwenye vikao maana mimi ni member wa hzi association za vijana (NGO)

Mkuu imagine mtaa wetu kwasasa ile system ya Taka haipo.
Serikali ya mtaa wamekorofishana na wakandarasi wa magari ya taka na saizi hakuna wa kuzibeba mwezi wa pili.

Sasa kwa mji wetu huu (Dsm) na mbanano wa watu ulivyo unadhani mwananchi anaenda kuzipelewa wapi?
Hakuna hata sehemu utaenda udump kitu.

Kwa swali lako, shortly napenda kutatua kero za wananchi silaha yangu ni kuongea kwa niaba ya watu bhasi.
Hii ya kuongea ongea hii bila kutenda ni moja ya uvivu au ukanjanja; ni bora uchukue ata fyekeo au jembe upalilie nyasi, utakuwa umetatua kero ya kuondoa masalia ya mbu.
 
Hii ya kuongea ongea hii bila kutenda ni moja ya uvivu au ukanjanja; ni bora uchukue ata fyekeo au jembe upalilie nyasi, utakuwa umetatua kero ya kuondoa masalia ya mbu.
No nafkiri ni vikao rasmi.

Kwa jua hili kufyeka bila hela hapana kwa kweli mkuu, 😀

Kwanza hakuna nyasi huku
 
Hii ya kuongea ongea hii bila kutenda ni moja ya uvivu au ukanjanja; ni bora uchukue ata fyekeo au jembe upalilie nyasi, utakuwa umetatua kero ya kuondoa masalia ya mbu.
Lakini kuadvocate mambo katika jamii pia ni moja ya utatuzi wa kero mkuu.

Kwanini hauapreciate hata hiko?
 
Wengi huwa tunajifunza fani mbalimbali ili mwisho wa siku tuweze kutatua kero au changamoto za jamii; mfano:
  • Daktari atatatua kero za wagonjwa kwa kuwatibu.
  • Mwalimu atatatua kero za wajinga kwa kuwapa elimu na ujuzi.
  • Mzibua vyoo atatatua kero ya kuzagaa kwa maji taka na kuelekea kwenye mfumo wake.
  • n.k

Sasa tushirikishe kwa upande wako; fani yako inatatua kero ipi kwa jamii?, au unapokea tu mshahara na posho bila kutatua kero yoyote?
Kudeal na wewe pumbafu
 
Wengi huwa tunajifunza fani mbalimbali ili mwisho wa siku tuweze kutatua kero au changamoto za jamii; mfano:
  • Daktari atatatua kero za wagonjwa kwa kuwatibu.
  • Mwalimu atatatua kero za wajinga kwa kuwapa elimu na ujuzi.
  • Mzibua vyoo atatatua kero ya kuzagaa kwa maji taka na kuelekea kwenye mfumo wake.
  • n.k

Sasa tushirikishe kwa upande wako; fani yako inatatua kero ipi kwa jamii?, au unapokea tu mshahara na posho bila kutatua kero yoyote?
Mimi?
 
Lakini kuadvocate mambo katika jamii pia ni moja ya utatuzi wa kero mkuu.

Kwanini hauapreciate hata hiko?
Huo ni ujanja ujanja tu, halafu mwisho wa siku utaitaji malipo 😀 😀
 
Mkuu kumbuka sie tunainfluence hata kwenye mawazo ya bajeti za vijana kwenye serikali kuu. Kwenda bungeni si kitoto.

Yoye ya yote Posho muhimu 🤣🤣
Kwa nini hiyo posho usiwape vijana?
 
Mlevi nasaidia kuchangamsha jamii zaidi zaidi wakiwa wamelala,mi ninazogo mpk wale chura wanaoliaga usiku hunyamaza kunisikiliza!
Kwa hiyo unasaidia kufanya ulinzi shirikishi au ? 😀 😀
 
Back
Top Bottom