Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unafaida gani katika jamii?[emoji23]Wengi huwa tunajifunza fani mbalimbali ili mwisho wa siku tuweze kutatua kero au changamoto za jamii; mfano:
- Daktari atatatua kero za wagonjwa kwa kuwatibu.
- Mwalimu atatatua kero za wajinga kwa kuwapa elimu na ujuzi.
- Mzibua vyoo atatatua kero ya kuzagaa kwa maji taka na kuelekea kwenye mfumo wake.
- n.k
Sasa tushirikishe kwa upande wako; fani yako inatatua kero ipi kwa jamii?, au unapokea tu mshahara na posho bila kutatua kero yoyote?
😀 😀 hayo ni mambo ya ukanjanja tu; mtu akiwa duniani anatakiwa apewe chakula cha mwili ili aishi; mpe chakula cha kiroho alafu umnyime cha mwili uone kama ataishi.Natatua kero zote za Kiroho katika Jamii yangu
Nawatibu watu 😀Wewe unafaida gani katika jamii?[emoji23]
Jamii inaona mchango wakoMe n afsa ubashir natatua kero za vijana kwa kuwatengenezea mikeka yenye odd za kutosha kila siku na vijana wanafarijika na mm mtaani kwang huwa wana kauli yao wananiambia mungu aniweke miaka dahar sijui wanamaanisha nn
Naamin ilo mana wanafarijika sn na mmJamii inaona mchango wako
😀 😀 Hapo unasaidia au unaumiza, kwa nini usiwashauri tu bila kuchukua chochote?Mimi ni nyange nyange Mr White natatua kero za madereva wazembe na wavunja sheria za barabarani nawasaidia kwa kuwachomoa afu mbili ya kubrashia viatu badala ya kuwalima mkeka wa afu 30.wananipongeza Sana na Mimi na wao tunaongea lugha moja
Fundi yaani wewe kila kitu unatengeneza au ?Mimi ni fundi kwaiyo natatua matatzo mengi kwenye jamii kila kazi inayohusisha ufundi nafanya😁😅😁
Inawasaidia sana jamii, kuimarika kiafyaUngeanza na wewe kutueleza fani yako inavyosaidia jamii,kwa nini wewe umeji exclude afu zetu ndio unataka ujue.
Tofautisha kati ya fani, ujuzi, na taalumaYes ,kwa kiasi chake na fani zenyewe ni fani za kwenye makaratasi ...N.k
...
Kwa nini mkuu?Equation x naomba uwe unanitag mkuu 😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Unatatua au unaongeza kero 😂😂🙏Mlevi nasaidia kuchangamsha jamii zaidi zaidi wakiwa wamelala,mi ninazogo mpk wale chura wanaoliaga usiku hunyamaza kunisikiliza!
Niwe nachangia hoja mbali mbali au vibaya 😂🙏🤝Kwa nini mkuu?
We doctorNawatibu watu 😀