Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Hicho ndo nilitaka kusikia mkuu πππππππππHaina shida, mada ni watu; chakula cha mungu ni sala na chakula cha watu ni sadaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ndo nilitaka kusikia mkuu πππππππππHaina shida, mada ni watu; chakula cha mungu ni sala na chakula cha watu ni sadaka
Na posho unavuta π πKiukweli sina cha kufanya, zaidi sana kwenye mzunguko βcircleβ kazi yangu inaweza pitiwa na dhoruba nikabaki jobulesi na mimi nikazalisha kero. ππ
Utamtibu mwenyewe na mwarobaini π πππππππ Kama ndo sifa ni hizo mbona kamkosa sasa
Bora iwe hivo mi nina akili wewe... Naelewa how you are ππππUtamtibu mwenyewe na mwarobaini π π
Wamekufanyaje hawa; funguka mkuu
Aya tuambie, fani yako inasaidiaje jamii inayokuzunguka?Bora iwe hivo mi nina akili wewe... Naelewa how you are ππππ
Daaah bado najitafuta.... MkuuAya tuambie, fani yako inasaidiaje jamii inayokuzunguka?
Roho ndo kitu ganiNatatua kero zote za Kiroho katika Jamii yangu
NdioKwa hiyo unasaidia kufanya ulinzi shirikishi au ? π π
Acha dharauHuna tofauti na makanisa ya kilokole, mabar, bodaboda zile zimeondolewa kinini sijui zinapiga makelele, subaru, alteza zote zenye mingurumo π€£π€£π€£
Fundi yaani wewe kila kitu unatengeneza au ?
Lazima uwe specialize bana....Kila kitu natngeneza vingne vkinishnda nwwaambia tafteni mtaalamu saaa
Fundi MaikoLazima uwe specialize bana....
Sasa inakuaje wewe kila kitu