Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Huyu akiwa dr. Usipeleke mkeo[emoji23]We doctor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu akiwa dr. Usipeleke mkeo[emoji23]We doctor
Afadhali[emoji1787][emoji1787]Wa mitishamba 😀 😀
Ikiwa watoa maamuzi hawajatekeleza kile kinachotakiwa kiwasaidie jamii; hapo inakuwaje?Hapana si moja kwa moja. ya kwangu inawasaidia watoa maamuzi “Decision makers” wakija kuamua kwa usahihi kwa faida ya jamii basi nakuwa nimesaidia kutatua matatizo ya jamii.
Khaaa mganga wa kienyeji...???Wa mitishamba 😀 😀
Aina shida, humu mada zimejaa teleNiwe nachangia hoja mbali mbali au vibaya 😂🙏🤝
Huna tofauti na makanisa ya kilokole, mabar, bodaboda zile zimeondolewa kinini sijui zinapiga makelele, subaru, alteza zote zenye mingurumo 🤣🤣🤣Mlevi nasaidia kuchangamsha jamii zaidi zaidi wakiwa wamelala,mi ninazogo mpk wale chura wanaoliaga usiku hunyamaza kunisikiliza!
Sijaribu... Yaan kwa huduma yoyote akiwa anatoa mke wangu hatomuona kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu akiwa dr. Usipeleke mkeo[emoji23]
Ujaipenda hiyo 😂😂🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏Aina shida, humu mada zimejaa tele
Hasa kama mkeo mweupe na ana tako[emoji23][emoji23]Sijaribu... Yaan kwa huduma yoyote akiwa anatoa mke wangu hatomuona kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasaidia jamii 😀Khaaa mganga wa kienyeji...???
Kiukweli sina cha kufanya, zaidi sana kwenye mzunguko “circle” kazi yangu inaweza pitiwa na dhoruba nikabaki jobulesi na mimi nikazalisha kero. 😂😂Ikiwa watoa maamuzi hawajatekeleza kile kinachotakiwa kiwaaidie jamii; hapo inakuwaje?
😂😂😂😂😂😂 Kama ndo sifa ni hizo mbona kamkosa sasaHasa kama mkeo mweupe na ana tako[emoji23][emoji23]
Kweli kweli kabisa...!Nasaidia jamii 😀
😂😂😝😝Fani zao wao zinatatua kero yangu ipi?
Anatafuna hadi mashemeji na wakwe[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama ndo sifa ni hizo mbona kamkosa sasa
Kama ndio bingwa niliyepo kituoni, inakuwaje hapo sasa?Sijaribu... Yaan kwa huduma yoyote akiwa anatoa mke wangu hatomuona kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Duuh mbona hatar sana hiyo...Anatafuna hadi mashemeji na wakwe[emoji1787]
Haina shida, mada ni watu; chakula cha mungu ni sala na chakula cha watu ni sadakaUjaipenda hiyo 😂😂🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Yaaani kivyovyote vile... Usitegemee mimi tajichanganya aiseeeeKama ndio bingwa niliyepo kituoni, inakuwaje hapo sasa?
Sina hamu na nyie.Mimi ni nyange nyange Mr White natatua kero za madereva wazembe na wavunja sheria za barabarani nawasaidia kwa kuwachomoa afu mbili ya kubrashia viatu badala ya kuwalima mkeka wa afu 30.wananipongeza Sana na Mimi na wao tunaongea lugha moja