Fani yako inakusaidiaje katika kutatua Kero za Jamii?

Hii ya kuongea ongea hii bila kutenda ni moja ya uvivu au ukanjanja; ni bora uchukue ata fyekeo au jembe upalilie nyasi, utakuwa umetatua kero ya kuondoa masalia ya mbu.
 
Hii ya kuongea ongea hii bila kutenda ni moja ya uvivu au ukanjanja; ni bora uchukue ata fyekeo au jembe upalilie nyasi, utakuwa umetatua kero ya kuondoa masalia ya mbu.
No nafkiri ni vikao rasmi.

Kwa jua hili kufyeka bila hela hapana kwa kweli mkuu, πŸ˜€

Kwanza hakuna nyasi huku
 
Hii ya kuongea ongea hii bila kutenda ni moja ya uvivu au ukanjanja; ni bora uchukue ata fyekeo au jembe upalilie nyasi, utakuwa umetatua kero ya kuondoa masalia ya mbu.
Lakini kuadvocate mambo katika jamii pia ni moja ya utatuzi wa kero mkuu.

Kwanini hauapreciate hata hiko?
 
Kudeal na wewe pumbafu
 
Mimi?
 
No nafkiri ni vikao rasmi.

Kwa jua hili kufyeka bila hela hapana kwa kweli mkuu, πŸ˜€

Kwanza hakuna nyasi huku
Yaani upige taralila useme unasaidia jamii πŸ˜€πŸ˜€
 
Lakini kuadvocate mambo katika jamii pia ni moja ya utatuzi wa kero mkuu.

Kwanini hauapreciate hata hiko?
Huo ni ujanja ujanja tu, halafu mwisho wa siku utaitaji malipo πŸ˜€ πŸ˜€
 
Mkuu kumbuka sie tunainfluence hata kwenye mawazo ya bajeti za vijana kwenye serikali kuu. Kwenda bungeni si kitoto.

Yoye ya yote Posho muhimu 🀣🀣
Kwa nini hiyo posho usiwape vijana?
 
Mlevi nasaidia kuchangamsha jamii zaidi zaidi wakiwa wamelala,mi ninazogo mpk wale chura wanaoliaga usiku hunyamaza kunisikiliza!
Kwa hiyo unasaidia kufanya ulinzi shirikishi au ? πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…