Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

Hapo kwenye suruali ni kwamba atang'ata suruali na si ngozi au maana ya kuvaa suruali ni nini
 
Hapo kwenye nyati na faru umekosa kabisa Cha kushauri zaidi ya kusubiri kifo
 
Wewe hizo mbinu umezitoa wapiii???
Kama ni akili Yako
BIG NO
 
Msogeleee uuponze
 
Hapa inabidi zile za kuambiwa uchukue kiduchu na za kwako ziwe nyingiiii walau ukizichanga utapata suluhu........ Ila si haba umetukumbusha uhatari wa haya madubwana.
 
Ukikutana na simba vua nguo zote halafu mbong'olee yaani geuka nyuma inama kisha aone matako yako, simba ataogopa kwa maana hayo matako atahisi kama ni vichwa viwili hivyo atasitaajabu na kukimbia kwakuwa hajawahi kuona.mnyama mwenye vichwa viwili.
Ulisha jaribu na ikafanya kazi au unataka kutuponza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…