Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

SI Biblia inasema fungu la kumi watoe wale waliotoa MISRI ili iwe ukumbusho kwamba Mungu aliwatoa huko kwa mkono wake wenye nguvu? sisi ni lini tulipewa hilo Agizo? Je siku hizi kuna walawi wasio kuwa na kwao? au walawi sasa nao wanafanya biashara,wanajenga n.k
 
Kibongo bongo haitekelezeki

Huwezi kuwa na familia let's say yenye mke na mtoto uweke matumizi 200,000 plus mchepuko lazima

Hapo extended family hujaiweka, Kodi ya nyumba, usafiri, mavazi

Hiyo bajeti haiendani na maisha ya Kiswahili
Mangi kama wewe umeshindwa usitishie wengine kuwa haiwezekani
Lazima iwe ngumu ili wawe nao wachache
 
Mangi nidhamu ya hela ipo karibu na uchoyo so usiogope hata kuitwa bahili ili kulinda uchumi wako
You better tell us something realistic bro. Siyo porojo tu ukiwa nyuma ya keyboard. Hakuna chembe yoyote ya uchoyo kwenye huo mfano nilioutoa.
 
Umesema kweli ila jitahidi utumia ata aslimia 50 tyu ya mfumo
 
Point kubwa ni NIDHAMU YA MATUMIZI

Ukiwa nayo hautahitaji hizo percentage zote ulizoweka. Kwa nini nasema hivyo?

Sio kila siku maisha yataenda kama hizo asilimia ulizoweka. Kuna dharura nyingi sana maishani

Ila ukishakuwa na nidhamu ya matumizi utajua jinsi gani ya kubalance matumizi yako na kusave
 
You better tell us something realistic bro. Siyo porojo tu ukiwa nyuma ya keyboard. Hakuna chembe yoyote ya uchoyo kwenye huo mfano nilioutoa.
Mangi hatanikikwambia ukweli bado utaamini uongo .
Sikia tumia mfumu huo lazima utoboe
 
Ni kweli nidhamu ya matumizi inajengwa !! Ndio kitu nataka kukiingiza kwa watu
 
Enyi kizazi cha wabalisha maandiko !!
Soma matendo ya mitume
Juu ya anania na mkewe walivyodanganya fungu la kumi
 
Hata kwa bachelor anayeishi Dar atatumia nguvu kubwa kuishi tena maisha duni kwa bajeti hii

Ulipata nafasi ya maisha ishi
Mangi kama wewe umeshindwa usitishie wengine kuwa haiwezekani
Lazima iwe ngumu ili wawe nao wachache
 
Hata kwa bachelor anayeishi Dar atatumia nguvu kubwa kuishi tena maisha duni kwa bajeti hii

Ulipata nafasi ya maisha ishi
Si eke assumptions zako mangi!!wewe juu mkono unaotoa zaidi ndio unapokea ,sio mambo ya ubachelor wewe toa maana ukisaidia usiangalie unafaidika nni?
 
Nimependa mchanganuo wako ila ningependa kutoa ushauri..

Chukua Sadaka na Zaka Weka Kwenye Msaada..

Saidia watu sana walio na shida Usipeleke pesa kwa watu wenye Vitambi waile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…