Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Wapi nimekuchimba? Alo kwanza mie nachangia mada sina hili wala lile.
Na mambo ya kula kwangu tena yanakujaje....basi nakukaribisha lunch hapa njoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wao tu ndio huwa na bahati mbaya. Mshahara haujaingia kwa wakati, njaa inamuuma muda wowote ukimuuliza kama amekula, anaumwa muda wowote ukimuuliza ameshindaje, anapenda outings ambazo zinakucost wewe, hauwez kuwasiliana nae mpaka umnunulie bando.
Kama anasoma basi amekwama Ada. Kama amepanga hata miaka mitatu, akikutana na wewe kodi inaanza kumshinda kulipa.
Mbaya sana unakuta wote labda tuseme ni walimu, na maanisha wewe na yeye. Mshahara mnapata unaofanana. Lakini katika expenditures yeye anakua hana kabisa jaya nauli ya kukutania kwenye venue [emoji16]. Yaani Mia 4 hana. Saivi nauli imepanda sijui itakuaje.
Lakini yote ya yote, hawa watu hawana shukrani na yupo tayari kuku dump muda wowote kama atapata mwingine wa kumghalamia mahitaji yao.
Kibaya zaidi, unaweza kumnunulia gari lakini akaja kugongwa na mtu alimsaidia 5,000 ya mafuta [emoji24][emoji24]
 
sio sheria ila ukiwa mchoyo mchoyo hata nyumbani kwako utakua mchoyo tu, na watoto wako wa kike utawaona mzigo! maana ushazoea kutoa ili upate something in return, (mbunye).
Ngoja nikupe elimu ndogo bidada Wanaume kiasili ni watoaji lakini kuna mazingira yamewabadilisha ndio maana wamekuwa sio watoaji Sana na hii ni kwasababu wanawake wengi kukosa upendo wa dhati, mwanaume anaweza kumsaidia mwanamke wake ambaye hana mbele wala nyuma lakini siku akifulia kidogo anaonekana hana Tena thamani na ndio maana jamaa anasema nyinyi ni wabinafsi.Wanawake wengi wasasa hawawezi kukuoffer kitu kingine tofauti na sex wakati sex mnapata raha wote wawili na bahati mbaya wameigeuza mbususu kama source of money siku hizi imekuwa kawaida ni ngumu mwanamke kukupa mbususu bila kutoa hela hata kama ujamtongoza ukishakuwa unampa hela tu mbususu utapewa kwa mazingira haya ni ngumu mwanaume kutoa hela zake ovyo ovyo wakati anajua wanawake wapo kimaslahi zaidi atatoa hela zake kwa yule ambaye anaona anasifa zote za wife material
The unpaid Seller
mzabzab
 
Ngoja nikupe elimu ndogo bidada Wanaume kiasili ni watoaji lakini kuna mazingira yamewabadilisha ndio maana wamekuwa sio watoaji Sana na hii ni kwasababu wanawake wengi kukosa upendo wa dhati, mwanaume anaweza kumsaidia mwanamke wake ambaye hana mbele wala nyuma lakini siku akifulia kidogo anaonekana hana Tena thamani na ndio maana jamaa anasema nyinyi ni wabinafsi.Wanawake wengi wasasa hawawezi kukuoffer kitu kingine tofauti na sex wakati sex mnapata raha wote wawili na bahati mbaya wameigeuza mbususu kama source of money siku hizi imekuwa kawaida ni ngumu mwanamke kukupa mbususu bila kutoa hela hata kama ujamtongoza ukishakuwa unampa hela tu mbususu utapewa kwa mazingira haya ni ngumu mwanaume kutoa hela zake ovyo ovyo wakati anajua wanawake wapo kimaslahi zaidi atatoa hela zake kwa yule ambaye anaona anasifa zote za wife material
The unpaid Seller
mzabzab

Niko hapa kujua mazingira gani yamewabadilisha kutoka kuwa watoaji kiasili mpaka mmekuwa sio watoaji???

Nishawajua watu wa type yako, mnaoona kwenye mahusiano wanawake have got nothing to offer than sex, dont waste my time please, wewe ni 'wale wale'.....

Mzabzab kanikimbia...kaniachia uzi?lol...mnaandika mashudu, lol
 
Mkuu nimekuelewa vyema Sana bandiko lako.

Mwanamke ni mdudu hatari zaidi ya Nyoka.
Utajitoa kwake na mwisho wa siku atakudhuru.

Wanaume 90% tunapata matatizo ktk dunia hii sababu ya wanawake.
-jela.
-kutafuta pesa kwa nguvu/style yeyote.
--kurudi nyuma ktk maisha.
--kudhulumu nk.
Ukiwa na msururu lazima yote hayo uyafanye ili ukidhi matakwa yao! Ukiwa na Mama mzazi na Mkeo hutakutana na hayo kamwe
 
Kinachoandikwa humu ni wewe tu ndio unapinga mkuu, 99.9% wanakubaliana na mimi. Sasa unasemaje nidigest kinachoandikwa?! Actually wewe ndio nikupe wito kudigest kinachoandikwa humu.
Mwamba unaupiga mwingi sana tupo nyuma yako
 
Uz
Wakuu salaam,

Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari.

Hata umsaidie vipi hua wanaona kama walistahili zaidi na zaidi. Women are takers wanachojua ni kuchukua na kuchukua na kuchukua kisha kuchukua na kuchukua. Uko mahala pa kazi acha kujifanya kuwasaidia jinsia ke hawana shukrani, uko shule ni mwanafunzi soma faulu tengeneza mambo yako achana kujifanya unawasaidia sijui masomo hawana shukrani na wanakuona zoba.

They constantly want, constantly take kwao kila mwanaume wanataka awafanyie jambo 1,2,3 hutakosea ukiwaita malaya wa kuhitaji kufanyiwa favour kama jambo halimuhusu au halimnufaishi yeye hiyo jambo sio muhimu. Ubinafsi ulioota ukurutu.

Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.

Acha ujinga wa kujifanya kutengeneza urafiki na hawa viumbe, urafiki na mwanamke hua ni wakumnufaisha yeye tu na ni watu wa ajabu hata hawajishtukii hawa viumbe wanamapungufu mengi ila hili la ubinafsi na kukosa shukrani nachukizwa nalo sana.

Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo. Nimekua niko kazini na msimamo wangu ni ule ule sitaki shobo na ke, hata watoto wangu (wote madume)

Nawaasa kujali malengo yao na kuacha kujifanya kusaidia wanamake HAWANA SHUKRANI. Kuna wanaume wengi wamekwama na kushindwa kufikia malengo yao kwa kujifanya watakatifu wa kuwasaidia wanawake.
Toka nijiunge na jamii forum sijawahi kupata kuona uzi uliobora na wenye ukweli ndani yake kama uzi huu!!! Ubarikiwe sana mkuu kwa kunyoosha maelezo . Hayo yalinikuta sana ktk maisha yangu ya A-level na chuoni, i was too kind n tender to them kiasi nasahau hata malengo yangu. Naacha kupiga misuli yangu ili niwasaidie wao pale ambapo walikuwa hawaelewi.

Naunakili uzi wako kwa wino wa dhahabu ili usifutike daima kichwani na moyoni mwangu na pia nije kuwarithisha wanangu.

Pia kwa waislam, Mtume Muhammad (pbuh) alisema kuwa wakati alipopaishwa na Mungu katika safari ya Miraji alioneshwa kuwa wakazi wengi wa motoni watakuwa ni wanawake. Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini akawaajibu kuwa wanakithirisha laana na pia ni wakosefu wa shukrani (hasa kwa waume zao). "

Mwanamke hata umfanyie nini huwa ni mchache sana wa kushukuru.
 
Niko hapa kujua mazingira gani yamewabadilisha kutoka kuwa watoaji kiasili mpaka mmekuwa sio watoaji???

Nishawajua watu wa type yako, mnaoona kwenye mahusiano wanawake have got nothing to offer than sex, dont waste my time please, wewe ni 'wale wale'.....

Mzabzab kanikimbia...kaniachia uzi?lol...mnaandika mashudu, lol
Moja ya kitu ni mmekuwa omba omba Sana utadhani tumekuwa bank unakuta mwanamke ana kazi yake lakini ujui mshahara wake unaenda wapi kila kitu imekuwa juu yako sasa hapo kuna mapenzi?
 
Moja ya kitu ni mmekuwa omba omba Sana utadhani tumekuwa bank unakuta mwanamke ana kazi yake lakini ujui mshahara wake unaenda wapi kila kitu imekuwa juu yako sasa hapo kuna mapenzi?

Sijui hata kama umenijibu niiilokuuliza kwenye hio posti yako, wastage of time, uko hapa kunishambulia, hunipati ng'ooo....
 
Umenikumbusha Ashura!! Hii ni Siri ya Kambi mzee Baba mbona hatukuelewana hivi kikaoni...
 
Back
Top Bottom