Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kuambiwa.....Kwahiyo utafiti kwaajili ya kukujenga kiuchumi? Umeongea hivyo ili kumrizisha huyo bidada au upo serious?
Umeua Mwamba big up to youBeca unafurahisha sana. First things first, all relationships are transactional. Hakuna mtu anayekuwa na mtu bila ya kutegemea something in return, iwe sex, money, status, good energy, peace of mind etc. Kingine tambua mapenz
Beca unafurahisha sana. First things fi
Beca unafurahisha sana. First things first, all re
Beca unafurahisha sana. First things first, all relationships are transactional. Hakuna mtu atakeyekuwa na wewe bila kutegemea something in return, iwe sex, money, status, peace of mind, good energy etc kingine mara nyingi mapenzi ya mwanamke kwa mwanaume yanakuja na conditions, condition yenyewe ni mwanaume kuwa provider, siku mwanaume anaposhindwa kumeet iyo condition ndipo wengi wanapoelewa maana ya real love.
Nashangaa sana unavyojaribu kujustify ku waste pesa adi kusema pesa si ya thamani sana, sasa kwa kauli kama hizo, wewe na mtoa mada nani mwenye poor mindset? Mwanaume lazima uwe disciplined na pesa zako, you can't go around helping everyone you meet, that is not generosity, it's called being stupid. The funny part wanawake wengi siku hizi wanapenda wanaume wajinga, mmekutana ata masaa 24 hayajaisha ameshaanza kutangaza shida zake expecting you to help her just because she is a female, I thought you females wanted equality, welcome to the real world where there is no pride being a beggar.
Hivi kwa nini wanawake ukikataa kuwasaidia ghafla unageuka kuwa adui wao, mnyanyasaji, and all of you seem to be using the same script, first shaming language ooh umekulia kwenye umaskini ndio maana ulivyopata hela umekuwa mchoyo, mara sijui mtoa mada alikataliwa sana utotoni saivi analipiza, unasema yote hayo knowing if you were to meet a guy today alafu akuombe msaada wa kifedha after first encounter, hautompa, why, because you got common sense. Na hizo insults za nini mama, eti mtoa mada asaidie wanaume wenzake wampe dick, are you insinuating he is gay? Mbona sisi wanaume tukikosa misaada we don't get bitter, you know why? Tunaelewa kuomba omba puts you in a weak position, kwa iyo lazima uwe mchoyo au smart na pesa zako ili kesho usije na we ukaanza kuomba omba.
Hasira za nini acha dawa iwaingie, usipopelekewa wewe wadogo zako au dada zako watapelekewa moto tu na kuachwa, hii ndiyo dawa yenu, hamna shukurani nyie.Manaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
Nimekuelewa mkuuAkili za kuambiwa.....
dawa ipi? kama unadhania hii topic itabadilisha anything kwa wanawake, then umepotea!,...mtaendelea kutoa hela mpaka mwisho wa dahari,lolHasira za nini acha dawa iwaingie, usipopelekewa wewe wadogo zako au dada zako watapelekewa moto tu na kuachwa, hii ndiyo dawa yenu, hamna shukurani nyie.
Napenda Hilo neno daddy ukitamka roho yangu inasuhuzikaBahati mbaya sinywi wine,
Daddy yangu akininulia mirinda nyeusi wala simalizi[emoji2957]
Wakuharibie kivipi mkuu?Ukiwa kauzu huna time nao ndo wanakufata fata ili wakuharibie tu
Pole mkuu story yako imenigusa Sana utadhani nimefanyiwa mimiMkuu umegusa maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana. Niliwahi kuwa na rafiki wa kike wakati nipo advance tulikua tunakaa mtaa mmoja ila tukawa tunasoma advance mikoa tofauti. Nilitokea kumjali sana maana nilikua namsalandia. Nakumbuka vingi nilipoteza kwake ila kwakua nilikua na hisia nae sikuhesabu chochote.
Mungu sio athumani tukaenda chuo kimoja iringa mkwawa bando upendo uliendelea palepale tena zaidi nakumbuka nilimtoa lanchi nyingi sana. Nakumbuka muda aliokua akiishiwa bumu alikua anakuja geto anapika anakula na maisha yanaenda. Ilitokea me nikaacha chuo nikaludi home coz hiyo kozi niliokua naisoma ni kama sikuipenda nililazimishwa, tangu niludi hivi sasa ni mwezi wa 5 hajawahi kunipigia sim wa kutuma text. Nilijalibu kumpigia sim ila respond yake ikawa mbovu sana kuanzia hapo nikampotezea hadi leo
Nimeuona huu uzi umenikumbusha mbali sana. Big up broo
Mnh huyu muandishi wa hii topic kama sio yule Robert..sijui
Hautakuwa kwenye committed relationship uka enjoy Matunda ta real love, never ever ! Kwa kudhani kila mwanamke yuko kwako ku gain something...tunakupa pole kwa kweli...
Yaani wewe utakua ulikua Mchoyo sana,ulivyokua mdogo. Poor you! Sikulaumu japokua umesema una mapesa sasa hivi, lakini umekulia maisha ya shida sana, umekua surrounded na poverty ndio maana uko selfish,sababu unaona pesa ya thamani sana, not to be wasted, not to be given to anybody.... sikulaumu mazingira na experiences tunazokulia ndizo zinazofanya tuwe confused tukiwa wakubwa...
Najua utakataa lakini ukweli ni huu...
1. Umekulia kwenye umaskini.
2. Una uchoyo hata kwa ndugu zako. Eti hapo kasema , atasaidia dada zake ila sio wanawake, hao dada sio wanawake?, sema wewe ni mchoyo, hutoi hela yako/msaada kwa yoyote na sio mwanamke peke yake, art of giving, haiangalii unatoa msaada kwa nani, kiwete au mzima, ndugu au sio ndugu, whether you get something back or not, au mwanamke na mwanaume ila ukiwa mchoyo ndio utafanya tofauti na hayo mambo.... eti humsaidii mwanamke sababu she has nothing to offer than mbunye...yaani unatoa msaada to get back something ndio unapproved wwe ni mchoyo... hivyo eti?! ...basi kasaidie wanaume wenzio upate di**ck!... maana jinsia ziko mbili tu mwanaume na mwanamke , na wewe unatoa msaada kwa kuexpect something in return, haya wanaume wenzio wana offer di**ck...
3, Wewe ni mtu uliyekataliwa sana na wanawake/ rejected because of poor status ukajiapiza ukipata hela hautampa mwanamke pole weeeee
Nyie watu mliokuwa confused na malezi, msituumie hii platform ya bwana Melo, ku influence upumbavu... na wanaume wengine wameingia kichwa kwenye huu ujinga...
Uz
Toka nijiunge na jamii forum sijawahi kupata kuona uzi uliobora na wenye ukweli ndani yake kama uzi huu!!! Ubarikiwe sana mkuu kwa kunyoosha maelezo . Hayo yalinikuta sana ktk maisha yangu ya A-level na chuoni, i was too kind n tender to them kiasi nasahau hata malengo yangu. Naacha kupiga misuli yangu ili niwasaidie wao pale ambapo walikuwa hawaelewi.
Naunakili uzi wako kwa wino wa dhahabu ili usifutike daima kichwani na moyoni mwangu na pia nije kuwarithisha wanangu.
Pia kwa waislam, Mtume Muhammad (pbuh) alisema kuwa wakati alipopaishwa na Mungu katika safari ya Miraji alioneshwa kuwa wakazi wengi wa motoni watakuwa ni wanawake. Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini akawaajibu kuwa wanakithirisha laana na pia ni wakosefu wa shukrani (hasa kwa waume zao). "
Mwanamke hata umfanyie nini huwa ni mchache sana wa kushukuru.
Mbona wengine hatutoi na tunazila mbususu?dawa ipi? kama unadhania hii topic itabadilisha anything kwa wanawake, then umepotea!,...mtaendelea kutoa hela mpaka mwisho wa dahari,lol
Sitaki kukujibu wewe mpumbavu, navyozidi kukuignore unakuwa desperate kunitafuta, unanidai figo?Mbona wengine hatutoi na tunazila mbususu?
Na nyinyi mtaendelea kuzalishwa tu bila kuolewa kama hamtabadilikadawa ipi? kama unadhania hii topic itabadilisha anything kwa wanawake, then umepotea!,...mtaendelea kutoa hela mpaka mwisho wa dahari,lol
hihi wanawake wangapi wamezalishwa bila kuolewa mpaka iwe ishu????, eti unatoa kwa mkeo sio mpenzi, mkeo yeye ni dume au???Na nyinyi mtaendelea kuzalishwa tu bila kuolewa kama hamtabadilika
Wapi nimekutusi? Matusi yanatoka wapi? Umesema in general kuwa tutatoa hela, nimekuuliza mbona wengine hatutoi?Sitaki kukujibu wewe mpumbavu, navyozidi kukuignore unakuwa desperate kunitafuta, unanidai figo?
Wapi nimekutusi? Matusi yanatoka wapi? Umesema in general kuwa tutatoa hela, nimekuuliza mbona wengine hatutoi?
Nakushauri kwa nia njema bidada kama hautabadilisha mentality uliyonayo hautakuja kuolewa kuwa mzuri pekee hakufanyi iwe una sifa ya kuolewa na pia jitahidi upunguze matusi mwanamke kaumbwa kuwa na stahahihi wanawake wangapi wamezalishwa bila kuolewa mpaka iwe ishu????, eti unatoa kwa mkeo sio mpenzi, mkeo yeye ni dume au???
nina time kama mlivyo nayo nyie.