Kweli wewe nyakyuWakwanza mama yako mzazi
Blaza kumbe ana stress tu.Tatizo la haya mambo hata ujifanye kauzu vipi bado tu hutaweza kuishi mwenyewe.View attachment 2249408View attachment 2249409View attachment 2249411
Haa ha ha noma sanaKuna jirani yangu hapa ni playboy balaa. Ilitokea majuzi mwanamke anapigana na mwanaume wake anachezea kichapo. Watu wote tulitoka kuamulia ugomvi, jamaa hakutoka. Asubuhi tunakutana namuuliza mbona ulichuna.
Akanambia wewe watazame hao mliokuwa mnawaamulia muone namna watawafanya muonekane wajinga kwa kuendelea na mahaba yao.
Kuna manzi mmoja nlimtania tu alifika ofisini kwangu nikachukua namba yake ya simu...aisee hata sijamtongoza tayari kashaanza kuniita baby, sijakaa vizuri vibomu ,vinaanza ...mara ooh baby ninashida ya pesa naomba nitumie.Nikamchekecha tu kuwa askilizie kuna ishu ikikaa poa ntamtumia....dah zilianza txt kama ugomvi ....umenidanganya hujanitumia, vp unantumia saa ngapi...n.k nkamrushia pesa ...kesho yake kuamka tu anashida tena ya pesa, mara sijui ana njaa hajanywa chai, mara sijui ana shida hii na ile .....ukicheki ni mke wa mtu. Nmempotezea mazima akipiga simu yake naiangalia tu siipokei.
Some women are disgusting parasites, hawana faida yoyote zaidi ya kukunyonya tu.
Kuna mwingine nilikuwa na namba yake muda mrefu tu, siku nikamtxt tu...kwenye kuchat ..akaanza nina shida ya kiasi kadhaa niazime ntakurudishia ..daaah nikampa kumpima tu ila nlijua kuwa hapa hakuna mpango wa kurudishiwa, mara ametengeneza mazingira niwe mpenzi wake , sijakaa vizuri vibomu vinaanza mara sijui nina shida ya pesa hivi, mara sijui hapa nadaiwa kwenye biashara ,mara mtoto wangu anaumwa sina pesa ya hospitali n.k .Nikaancha kumpa attention, na yeye akapunguza mawasiliano na mimi, nikimtxt hajibu sms zangu kama mwanzo ,unaweza ukamtxt watsapp ukaona blue ticks halafu asijibu, nikakata mawasiliano , ila cha ajabu hanitafuti mpk awe na shida ya kitu kutoka kwangu .Nishamjulia nami namfungia tinted tu.
Duniani kuna wanawake wawili tu ndio wamekuwa wema kwangu, wa kwanza ni Mama yangu kipenzi (Mungu amjaalie afya na umri wenye baraka tele) na wa pili ni mke wangu kipenzi. Hawa ndio wanawake bora kwangu.
Mke wangu alinipenda in a mysterious unconditional way na kama nikifanikiwa huko mbeleni naweza kuandika kitabu juu yake. Nathubutu kusema kuwa sijapata na sidhani kama ntakuja kupata tena mwanamke kama yeye mpk naondoka katika mgongo huu wa ardhi.
" ... mitaani piga ng'embe na ke wasikuzoee kabisa...", nimejifunza kitu hapa, nimewahi experience madhara ya hiki kitu. Heshima yangu ilishuka to -100%. Sipo tayari kurudi nilikotoka.Kweli mkuu, unapata kijana Mungu kamfungulia milango pesa iko afu anaendeshwa na wanawake, anahonga honga kijinga wengine anahonga na mbunye hapewi aisee !!
Hua inanikera sana. Wanawake waliumbwa kwa ajili ya wanaume haipaswi watuumize akili mkuu na kua chanzo cha kupoteza ari na amani ya moyo.
Mwanamke akileta ulafi wa hela piga chini hiyo ngombe, mitaani acha mazoea ya kishamba na ke wasikuzoee kabisa. Hands on your wheels.
Yeah,Asa huon we cay say hapa dada alikupenda na wewe ulimpenda
the case is closed , wanaolalamika humu most hawapendwi na shoshi zao.
Kizazi cha cash vampires, wanaume wazingatie malengo yao urafiki na wanawake ni kukaribisha matatizo yanayoepukikaLiverpool VPN kasema weee hafi kachoka
Kuna mwingine nae kasema, "katu usimwonee huruma mwanamke"
Kuna watu wamempinga ila wengine tumemwelewa
Na wewe tena umerudia jambo hilo hilo
Vijana wasipoelewa baaasiiiiii, tuwaache wapambane na hali zao
Hili umesema kweli,Na kinacho tuponza wanaume ni huruma yetu.
yah kwenye maisha ya kawaida mimi ni mpole nipo hivyo wewe una darubini Kali sanaUmeandika kama mpole Fulani ivi
Nakazia hapo kwenye,Kizazi cha cash vampires, wanaume wazingatie malengo yao urafiki na wanawake ni kukaribisha matatizo yanayoepukika
Usiache kuwa ivoyah kwenye maisha ya kawaida mimi ni mpole nipo hivyo wewe una darubini Kali sana
Mkuu pole ila isikushangaze alikua kwako kupata hifadhi tu na hata sana anakulia timing umtekelezee 1,2,3 akitokea mwenye pesa zaidi hata huyo ex wake atakimbiwa na hata akikimbiwa bado mwanadada atataka ex pamoja na wewe muendelee kumtekelezea 1,2,3 huku huyo boya mpya nae anatekeleza 1,2,2 yani ni mwendo wa kuchukua na kuchukua zaidi na zaidi CASH VAMPIRESHili umesema kweli,
sa hv kuna fala mmoja nilikuwa namuhudumia kama mke wa ndoa, nilijitahidi kumtimizia mahitaji yake mwisho wa siku karudiana na Ex wake akamzawadia na mimba kabisa sasa mimba inavyomuendesha anataka niende kumuona,
Nikimuuliza baba kijacho anasemaje?
Anaruka kwa kudai mbona maswali mengi
Sijui ananichukuliaje huyu malaya, sema nini, kanikuta nipo active sana, ila angenijua vizuri huenda angeniogopa
Maana namchukia pia nna hasira nae kinoma ila bahati mbaya hajui, hii yote imesababishwa na malezi ya kijasusi niliyokulia,
Maana mimi mtu hata kama ninamchukia hawezi kujua, wenyewe wanasemaga,
"keep your friend close but keep your enemy CLOSER"
Asante kwa ukarimu wako mkuu, hyo ya kunitumia ongeza pale kwenye mtaji wako mkuu nitafurahi kusikia umefanikiwa kibiasharaNakazia hapo kwenye,
"Wanaume wazingatie malengo yao urafiki na wanawake ni kukaribisha matatizo yanayoepukika"
Mkuu nitumie namba ya wakala PM nikutumie hela ya kinywaji nipo SIRIAZ umenifurahisha sana
Hata kama hawapendwi sio lazima ule hela yake kama umpendi mwambie sikupendi mwanaume hawezi kuangaika na wewe ila hoja uliotoa bidada inaonekana una busara na hekima yakutosha wafunde hawa mabinti wasiku hizi ili huwasaidie, wanawake wasasa ni wachache Sana wanasifa zakuolewa the rest ni pasua kichwaAsa huon we cay say hapa dada alikupenda na wewe ulimpenda
the case is closed , wanaolalamika humu most hawapendwi na shoshi zao.
Yaaa,mkuu uko sahihi snaa,Kuna mahala nimeikuta meme inasema .... asilimia 90 ya marafiki zako wa kike hawawezi kukusasidia financially.... nikipata picha naileta