[emoji419]Saidi alitaka kumnunua mwanamke kwa pesa yake.
Ila mwanamke hakumpenda Saidi kabisa.
Ila aliitika wito wa Saidi kwakuwa alikuwa na shida ya pesa.
Unampendaje Mwanamume anavaa shati la Kijani kila siku ?
Ni kwamba inapendwa hela tu.
Naridia, kama una hela ya mawazo usimpatie mwanamke.
Nenda kajenge.
Au niseme hivi, kama unataka kumpa pesa yako ya mawazo.
Nendeni kwa Wakili ila asaini mkataba wa kukupenda.
Mi hapa nawapa tu elimu.
Mkiendelea kuwapa pesa wanawake bila mikataba na kutaka mpendwe, wala kulipa mahali kwa Wazee wake, huyo atabaki kuwa mali ya umma.
waambie watu huyo demu aliyemlia Saidi hela yupo wapi. kwishaaaSaidi alitaka kumnunua mwanamke kwa pesa yake.
Ila mwanamke hakumpenda Saidi kabisa.
Ila aliitika wito wa Saidi kwakuwa alikuwa na shida ya pesa.
Unampendaje Mwanamume anavaa shati la Kijani kila siku ?
Ni kwamba inapendwa hela tu.
Naridia, kama una hela ya mawazo usimpatie mwanamke.
Nenda kajenge.
Au niseme hivi, kama unataka kumpa pesa yako ya mawazo.
Nendeni kwa Wakili ila asaini mkataba wa kukupenda.
Mi hapa nawapa tu elimu.
Mkiendelea kuwapa pesa wanawake bila mikataba na kutaka mpendwe, wala kulipa mahali kwa Wazee wake, huyo atabaki kuwa mali ya umma.
Ntamalizana nawe baadae ngoja nilale kwanza..Mmalizane wenyewe mimi simo.
Ushawahi kuumizwa na mwanamke, lazima uone mawenge, ...pole we!, sipingi experiences zenu zimeashape mlivyo, nachopinga ni nyinyi kutaka kuwainfluence wengine especially vijana wa kiume humu wadogo humu kuwa wanawake ni watu wabinafsi.Nakushauri pitia comment zangu kwa huyo niliyemzungumzia kwenye huu uzi,
kisha nenda pitia na comment zangu kwenye uzi wa Mshana Jr unaoitwa "mada maalumu kwa wanandoa"
Kisha fikiria mnayotufanyia wanaume kama ni mazuri,
Ninachoshukuru ni kwamba najua kujicontrol ila kinyume cha hapo sijui ingekuwaje
1. Wanaume tunapendanaUshawahi kuumizwa na mwanamke, lazima uone mawenge, ...pole we!, sipingi experiences zenu zimeashape mlivyo, nachopinga ni nyinyi kutaka kuwainfluence wengine especially vijana wa kiume humu wadogo humu kuwa wanawake ni watu wabinafsi.
Ndio dunia mkuu...hakuna mtihani mzito kwa mwanaume kama hivi viumbe vilivyoumbwa kwa mbavu zetu za kushotoMkuu umenikumbusha mbali hadi nimelia
Ndio dunia mkuu...hakuna mtihani mzito kwa mwanaume kama hivi viumbe vilivyoumbwa kwa mbavu zetu za kushoMkuu umenikumbusha mbali hadi nimelia
Sahihi kabisa kana mwanaume hajakumbana na maswahibu haya ya hivi viumbe anaweza asielewe tunalojadili ila siku likimkuta na akawa na moyo mdogo wa uvumilivu ndio utaskia kajinyonga au kammiminia mwanamke risasi saba kisha na yy kajiua1. Wanaume tunapendana
2. Hatutaki na wao yawakute yaliyotukuta sisi maana vijana wa sasa wapo laini laini ni wepesi kuchukua maamuzi magumu, kujiua au kuua
Hivyo tunatoa tahadhari ili kuepusha maafa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio utakuwa mchawi mkuu uliyenifundisha uchawi....angalia lugha yako uliyoitumia toka mwanzo!!!
Au kundu lako hulioni we nyani!!
"Habari ndiyo hiyo. Hivi punde tu nimeombwa 30. Nimemkamatisha buku 3 nilipomuacha nikamtumia text nina ukame, tunaweza kupiga miti? Hajajibu,dawa ya jeuri ni kiburi..."[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu mmepinda, kutoka 30k mpaka 3k?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari ndiyo hiyo. Hivi punde tu nimeombwa 30. Nimemkamatisha buku 3 nilipomuacha nikamtumia text nina ukame, tunaweza kupiga miti? Hajajibu,dawa ya jeuri ni kiburi.
Aliyenifundisha hili ni dada mmoja nilimkuta anashida kubwa ya kiafya. Yule kabla hata ya kumsaidia nilikuwa nampenda sana. Nikamsaidie mambo kibao huku akijua ninampenda. Sasa kwa sababu alikuwa hayuko vizuri kiafya sikumuingizia suala la kumla ila kila kitu kilikuwa wazi maana muda mwingine tukiwa kwenye gari tunapakatana.
Yule demu alivyopona akani block bila huruma bila kosa lolote. Ofisi zipo jirani akiniona anajikausha. Siku nilipokutana naye ana kwa ana nikamwambia wewe ni mwanamke wa mwisho kuonewa huruma na mimi
Umetema madini mazito sana hapaWanaume matajiri leo hii ni ngumu sana kuoa wanawake maana wengi wanaojipendekeza kwao huwafata kwa ajili ya mali tu...wanajua hata wakipewa talaka hawatatoka mikono mitupu. Ndio maana unaona kina elon musk, bill gates, dangote na wengineo wameshatemana na wake zao kama wana hamu na wanawake wananunua tu wanatimiza haja zao kisha wanaendelea na mishe zao za kusaka pesa.
Wanawake ni wabinafsi , ukiwa huna pesa atademand pesa itakulazimu uzisake kwa hali yeyote umtimizie mahitaji yake ila ukishakuwa na pesa na tajiri upo busy na miradi yako bado anaanza kukupasua kichwa tena na kukuvuruga kiasi utashindwa hata kufanya kazi zako vizuri.
Fikiria upo zako kwenye mihangaiko huko ziwani baridi kali halafu anakupigia simu kuwa anatoka na rafiki zake kwenda kuangalia mechi uwanjani. Unamkataza na bado anakujibu shits kuwa anaenda utake usitake. Hapa lazima akuvuruge uache kazi zako urudi nyumbani kumzuia.Mara alalamike kuwa upo busy sana humjali yeye ilihali kila kitu anachokitaka unahangaika kumtimizia.
Hivi viumbe havina shukrani kabisa na havijulikani huwa vinataka nini. Kimsingi mwanaume jipende mwenyewe na penda pesa zako tu.
Vema huruma ina mwisho, nimependa hitimisho lako kanyagia hapo hapoHabari ndiyo hiyo. Hivi punde tu nimeombwa 30. Nimemkamatisha buku 3 nilipomuacha nikamtumia text nina ukame, tunaweza kupiga miti? Hajajibu,dawa ya jeuri ni kiburi.
Aliyenifundisha hili ni dada mmoja nilimkuta anashida kubwa ya kiafya. Yule kabla hata ya kumsaidia nilikuwa nampenda sana. Nikamsaidie mambo kibao huku akijua ninampenda. Sasa kwa sababu alikuwa hayuko vizuri kiafya sikumuingizia suala la kumla ila kila kitu kilikuwa wazi maana muda mwingine tukiwa kwenye gari tunapakatana.
Yule demu alivyopona akani block bila huruma bila kosa lolote. Ofisi zipo jirani akiniona anajikausha. Siku nilipokutana naye ana kwa ana nikamwambia wewe ni mwanamke wa mwisho kuonewa huruma na mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiti kimoja how?Mkuu hii ni kwa walio oana au kuzaa watoto.
Ndoa za kizungu kuachana huleta umasikini.
Kuna Mdenishi mmoja alikuwa na mshiko mrefu tu.
Tatizo alioa mara 3 na kuachana.
Wakwanza wakagawana nusu.
Wa pili wakagawana hiyo nusu.
Na wa tatu wakagawana nusu tena.
Mwishowe alikimbia Ulaya kuja Tz Karatu.
Sasa ameoa mchaga wamejenga lakini nyumba ina kiti kimoja cha kukalia.
Huyu mwanamke naapa lazimaa atakua single mother wa watoto sio pungufu ya 3 kwa baba tofauti, (hakunaga mwanaume wa kuoa jinga kama hilo) anauadui na anajadili kwa hasira sana. Na kuzalishwa na kutemwa anaona kaonewa ili hali ni matokeo ya ujuaji wake.Halafu ww sister nyuzi nyingi unajikutaga sana, seems wanaume walishakufanyia yao wakalala mbele! Huwa una negativity sana kwa wanaume.
Kibaya zaidi huwa unaandika sanaa kutetea point zako ila huwa ni chuya, pumba, fifi, uozo tupuuuu.
Karibu mkuuNinasoma komenti tu
Umeandika facts, ubarikiwe mkuuKuna formula moja tulifundishwa JANDONI huko, kwenye nyumba mwanaume akiwa na laki 3 na mwanamke milion 1 basi jumla ndani ya nyumba mna laki 3.Hizi hesabu huwezi elewa mpaka uingie jandoni.
Kwa kifupi hela ya mwanamke chungu, ina masimango na kejeli sababu wengi wenu wabinafsi na mara nyingi kama mkitoa hela yenu ndani ya nyumba wengi wenu hua mnaidai.Mistake kubwa sana kwa kijana kuingia kwenye maisha ya ndoa na mwanamke sababu ya hela yake, mara nyingi huishia kujuta na kusaga meno.
Mimi ndio maana ktk maisha yangu sijawahi kuipigia mahesabu hela ya mwanamke.