Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Umeandika Kweli Tupu . wanawake sio hawana shukurani aisee .. nimewahi kuwa kwenye mahusiano na binti kutoka Njombe, Since advance Mpaka Chuo Nikajua Naoa Kabisa Na Niliwekeza Vingi Mpak Nimezaa Naye Mtoto Mmoja nilimpenda na kumuhudumia mpaka kumlipia ada Ila Nilivyofulia Aliniacha Na Kuolewa Kwingine. Mungu so Athumani Kaolewa Leo Kesho Napata Ajira sijui yuko wapi now mamaaake[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wanawake hampendani hata nyie mnakiri hivyo.
 
Wanawake hampendani hata nyie mnakiri hivyo.
Tunapendana sana tu, mkitoa influence yenu wanaume sisis ni watu wenye upendo sana sababu tumejaliwa huruma, sasa upendo haunaga kikomo, eti usimpende mwanamke mwenzio..why?
 
Siyo huruma, ni kutaka uonekana mwanaume tena hakuna linalokushinda.
 
Huwezi ukafanikiwa kiasi hiki halafu ukawa na roho hiyo. Issue sio kusaidia Bali roho , ukiwa na roho yenye kutu kila Jambo kwako ni kubwa.
Mbona imewezekana arif. Na zaidi ya 90% ya cycle ya watu wangu wa karibu wana mind set exactly kama yangu na sikuwahi kuwahubiri imetokea tu, kila mmoja yupo hivyo.

Fanya utafiti wako wanaume wote wanaofanya vema katika maisha hawana shobo za kishamba na ke. Nitoe mifano michache kwa unaowafahamu mtazame Alikiba, Samata kama wana shobo na ke.

Siku utakua serious na maissue zako ndio siku utapata breakthrough, wanawake wameangusha wanaume mengi sana. Narudia Kuna siku utalia na sitakuwepo kukukumbusha maneno yangu.
 
Kwanza wanaume hawana huruma, anaweza akala hela yako na arrogantly asikupe...
jamaa ananifanyia ubabe sana na nilimsaidia kirafiki kabisa. na hawa watu ambao wanashambulia sana hapa ni watu ambao wanataka kila mwanamke ndomana utasikia anasema nilimpa huyu mara yule na bahati mbaya ni kwamba watu kama hawa mara zote wanaangukia kwenye mikono ya makahaba na wadangaji...
 
Kwanza wanaume hawana huruma, anaweza akala hela yako na arrogantly asikupe...
Wanaume wameumbwa kuwa na huruma. Ndo maana anaweza kujinyima yeye,Akakupa wewe mwanamke.

Wanawake ndiyo hamna huruma.Mtu ana weza kukusomesha mpaka kukutafutia na kazi bado ukamtosa.Hata Ile akili ya kurudi nyuma kufikiria kuwa mtu kakusaidia.Hamna.

Na wanaume walisha jua hilo kuhusu wanaume. Wanaume mapoyoyo ndiyo walio baki wakiwa hawajui kuhusu hilo.

Kampeni ni USIMUONEE HURUMA MWANAMKE,MWANAMKE HANA MAPENZI YA KWELI KWA MWANAUME,NDOA NI FAIDA KWA MWANAMKE ADHABU KWA MWANAUME, USIMSAIDIE WALA KUMJARI MWANAMKE BALI JISAIDIE WEWE,WANAWAKE WANA RIHO YA KISHETANI. Hizo zote ni thread ambazo ziko humu jf.
 
Tunapendana sana tu, mkitoa influence yenu wanaume sisis ni watu wenye upendo sana sababu tumejaliwa huruma, sasa upendo haunaga kikomo, eti usimpende mwanamke mwenzio..why?
Wanawake Kwa wanawake huwa hampendani.Huo upendo unao usemea ni ule upendo wa kinafiki.

Upendo wa mwanamke ni WA kinafiki.Mwanamke Hana upendo wa kweli.Ana upendo wa kweli Kwa mtoto wake tuu.
 
hahhahah 90% ya cycle yako ni watu wenye mindset kama yako...ofcourse lazima birds of the same feathers.....?!...

Wanaume wapo wengi tu wanaofanya vizuri na wanashobokea wanawake, mwenyewe ulikiri ulivyokua HR Manager ulikua unashobokea wanawake, au unataka sasa hivi kubadilika kuwa ulikua unashobokea wanawake ulivyokua broke?
 
Onea Huruma wanaume wenzako Mademu hawatabeba hata Jeneza lako
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huo ni utaratibu tu ila jeneza linawezwa burutwa tu na ukafukiwa vizuri tu
 
Wanawake Kwa wanawake huwa hampendani.Huo upendo unao usemea ni ule upendo wa kinafiki.

Upendo wa mwanamke ni WA kinafiki.Mwanamke Hana upendo wa kweli.Ana upendo wa kweli Kwa mtoto wake tuu.
Sijui kama umenielewa nilivyosema ukitoa influence ya wanaume, sisi ni watu wenye upendo???? unless u expand kwa nini unasema hatupendani???? ..... eti upendo wa mwanamke ni wa kinafiki??? mkuu umeshawahi kuumizwa na mwanamke na wewe nini?
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huo ni utaratibu tu ila jeneza linawezwa burutwa tu na ukafukiwa vizuri tu

Na winch, 🤣 ...i agree though...
 
Mkuu paragraph yako ya mwisho inaujazo wa maudhuri ya dhamira yangu kuandika uzi huu. In short umeweka msumari wa mwisho kwenye jeneza.
 

Nimeipenda sana hii mkuu, my previous post, nilisema huyu alikua anatafuta upendo, sema alikua hajui jinsi ya kuutafuta , akadhania atatumia influence ya pesa kuutafuta huo upendo, kakuta wadangaji,kaumizwa, ka conclude wanawake ni wa binafsi, anakuja kutema 'sumu' kwa vijana humu...na watu wanam follow blindly...wanaume naturally ni aggressive, unaweza umpe hela yako na bado muende kwenye '' war''...kwa hela yako mwenyewe...najua kuna gold diggers outhere, ila chunguza wanaume, kuzulumiana viwanja,nyumba, sijui nini mara nyingi ni wanaume kwa wanaume sisi wanawake hatukuumbwa tuwe selfish...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…