Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Mnaofanya mazoez na kutengeneza body sikuhiz ndio mashoga mnapumuliwa kilasiku huko gym...
Wanaume msidanganyike, chips mayai sausage kuku broiler hawana effect yeyote ktk nguvu za kiume...
Nguvu za kiume ni saikolojia yako tu, ukijiambia unaweza basi utaweza, ukijitia hofu huwez kweli hutaweza...
 
Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!

Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.

Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.

Naomba kuwasilisha asantee.
Pole sana kijana
Umepelekewa moto na kijana wa Dar huku ukiwa na matarajio ya juu
 
Screenshot_20230517-085303_WhatsApp.jpg
siku hizi ni mwendo wa kisinia
 
Mnaofanya mazoez na kutengeneza body sikuhiz ndio mashoga mnapumuliwa kilasiku huko gym...
Wanaume msidanganyike, chips mayai sausage kuku broiler hawana effect yeyote ktk nguvu za kiume...
Nguvu za kiume ni saikolojia yako tu, ukijiambia unaweza basi utaweza, ukijitia hofu huwez kweli hutaweza...
Tatizo lako hujaelewa thread
Nani kasema mazoezi yanafanyaka gym pekee yake maana ata jogging,pushup ni mazoezi ya kawaida na mtu sio lazima kwenda gym
Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na maarifa kidogo,kitambi kikubwa+ big boot
 
Tatizo lako hujaelewa thread
Nani kasema mazoezi yanafanyaka gym pekee yake maana ata jogging,pushup ni mazoezi ya kawaida na mtu sio lazima kwenda gym
Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na maarifa kidogo,kitambi kikubwa+ big boot
Sawa mke wangu mtam unayefanya mazoez gym kuvutia wanaume tukufirembe
 
Kama huna pesa, Wenye nazo watakugongea tu hata uwe na body kama Mwarabu fighter
Ofcorse lakini pesa sio kila kitu
Mazoezi ni muhimu kwa afya yako binafsi ata jogging,pushup sio mbaya unaimara kinga ya mwili.
 
Umetumia lugha kali kidogo mkuu!!.[emoji28]
Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!

Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.

Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.

Naomba kuwasilisha asantee.
Anyway,
i believe wahusika wamekusikia

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom