Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!

Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.

Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.

Naomba kuwasilisha asantee.

Bora uwaambie dume zima linaagiza chips zege rojo!!! Halafu linataka dog style wakati hata hafikii kwa bibi mtumbo mkubwa umeziba duduwasha
 
Alijisemea boya mmoja anayeshindaga gym,waache Wana na 1big pack lao wainjoi,kikaoni tulishasema hayana fyomula
 
Unashauri kwa kutukana eti FANYENI MAZOEZI VINGINEVYO NITACHAKATA MBUSUSU ZA WAKE ZENU
 
Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!

Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.

Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.

Naomba kuwasilisha asantee.
Mkuu jichunge, kuna wanaume wa Dar waleeeee wanakuja kukushikisha adabu.
 
Tafuta pesa mkuu wacha makasiriko,,

Hakuna mwanamme mwenye pesa akashindwa kumfikisha mwanamke kileleni.

Tena mwanamke anapanda mwenyewe huko kileleni,,
Wala hapandishwi na mwanaume,
 
Habarini wanaJF wenzangu, I hope mko gud that's fine.

Oh yeah! Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!

Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.

Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.

Naomba kuwasilisha asantee.
Acha [emoji38][emoji38][emoji38] tu!! Naona jamaa wanavyosonya kwa kuwaambia ukweli mtupu ingawa watabisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ungejikita kwenye kushauri watu wafanye mazoezi, hizo hoja za kuacha kula chipsi..mara utawachapia wake zao umeharibu mada yako.

Afterall tafiti za kisasa zinaonyesha mafuta ni muhimu zaidi mwilini na yanahitajika kwa wingi..vyakula vya wanga kama wali,ugali,mihogo n.k hii ndio inayosababisha unene wa kupindukia.

Lakini cha mwisho kabisa lazima utambue kuwa BODY SIZE ni CONTINOUS VARIATION, yaani kwa lugha rahisi ni kwamba saizi ya mwili inarithiwa kutoka kwa wazazi, so kuna watu ni wanene tu hata kama wangefanyaje ni wapo hivyo..na wengine ni wembamba tu hta kama wangekula nini hawanenepi na kuwa ba nyama zembe.
Naona hapa post imepata Like za watu miiili yao 14!!!
 
Unafikiri wenye vitambi tuna nongwa na wake zetu Basi. We tuchapie tu kiroho safi, Ila siku tukikumata tunawatafuta wafanya mazoezi wenzako wakuchape na wewe huku wakikupaka kilanishi.
Niachaje chips kwa mfano
 
Back
Top Bottom