Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Toa hayo mayai ndio maana unafunga bao moja embu kula dagaa na mrenda wa karanga
Hizo dagaa huwa nalisha kuku na mbwa au nikupigie picha uone🤣
hata ushike panga sili mlenda mara ya mwisho wakati nakata tonge ugali mlenda dogo kapita na makamasi yake😄
 
Hizo dagaa huwa nalisha kuku na mbwa au nikupigie picha uone🤣
hata ushike panga sili mlenda mara ya mwisho wakati nakata tonge ugali mlenda dogo kapita na makamasi yake😄
Ahahahaha wewe giliy mwanaume wa dar ndio maana unakitambia kama mpira wenu wa simba
 
Mimi naomba kuuliza, watu waache kula chipsi au waache kula viazi au waache kula vitu vilivyokaangwa?
 
Mwanaume una weka emoj za kumlilia mwanaume mwenzio are you normal nigger ?
 
Back
Top Bottom