Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 unakataaa wakati kfc unakula na kuku juu na big peps kabissa nitakupiga pichaHayo siyo mambo yangu kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂mayai hapo yanafanya nin saaaMda huu nakula nyama ya mbuzi na ndizi mzuzu. View attachment 2626900Nani anakula chips wewe kuku kishingo Mwachiluwi
Kwani mayai ni yako au ya kuku🤣🤣🤣🤣😂😂😂mayai hapo yanafanya nin saaa
Toa hayo mayai ndio maana unafunga bao moja embu kula dagaa na mrenda wa karangaKwani mayai ni yako au ya kuku🤣🤣🤣🤣
Ke wengi huwa wanapata shida sana kwa kuwa shapeless, pia hupelekea wajawazito kupata tabu sana wakati wa kujifungua maana viumbe vichanga huwa vikubwa sana kuhimili njia ya kutokea (uke)Me nimemshukuru tu hiyo chips hajatukataza siye,
Ahsante.
Hizo dagaa huwa nalisha kuku na mbwa au nikupigie picha uone🤣Toa hayo mayai ndio maana unafunga bao moja embu kula dagaa na mrenda wa karanga
Exactly [emoji817]Ke wengi huwa wanapata shida sana kwa kuwa shapeless, pia hupelekea wajawazito kupata tabu sana wakati wa kujifungua maana viumbe vichanga huwa vikubwa sana kuhimili njia ya kutokea (uke)
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ahahahaha wewe giliy mwanaume wa dar ndio maana unakitambia kama mpira wenu wa simbaHizo dagaa huwa nalisha kuku na mbwa au nikupigie picha uone🤣
hata ushike panga sili mlenda mara ya mwisho wakati nakata tonge ugali mlenda dogo kapita na makamasi yake😄
mimi ni mwanaume wa Rombo mkuu. Nasubiri chakula kishuke ninywe maziwa mtindi😄🤣Ahahahaha wewe giliy mwanaume wa dar ndio maana unakitambia kama mpira wenu wa simba
Kwa mtindo uho ndio kitambi kitaisha kweli?mimi ni mwanaume wa Rombo mkuu. Nasubiri chakula kishuke ninywe maziwa mtindi😄🤣
unafikiri.huwa nafuta kioo cha simu na nini? kama sip kitambKwa mtindo uho ndio kitambi kitaisha kweli?
Punguza kula nitamwambia shem asikupikie vitu vya mafuta mafutaunafikiri.huwa nafuta kioo cha simu na nini? kama sip kitamb
Hakuna kitu kama icho nenda gym usijidaangNyeWe fala hichi kitambi shemeji yako ndio amenipendea icho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jinga kabsa ilo