Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips

Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!

Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.

Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.

Naomba kuwasilisha asantee.

Njoo uchape wakwangu uone kama kizazi chako kitaiona kesho yake
 
Njoo uchape wakwangu uone kama kizazi chako kitaiona kesho yake
Uwezi fanya chochote kuliwa ataliwa tu ata iweje endekeza kitambi na shoo iwe mbovu utaja niambia.
 
Tatizo lako hujaelewa thread
Nani kasema mazoezi yanafanyaka gym pekee yake maana ata jogging,pushup ni mazoezi ya kawaida na mtu sio lazima kwenda gym
Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na maarifa kidogo,kitambi kikubwa+ big boot
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We nichapie ila nisikukute, wengne mazoezi tunafanya na bia situmii ila sas huo mwili nimetumia hadi malimao niliskia yanasaidia lakini wap
 
We nichapie ila nisikukute, wengne mazoezi tunafanya na bia situmii ila sas huo mwili nimetumia hadi malimao niliskia yanasaidia lakini wap
Fanya mazoezi mwanaume maana ni muhimu kwa afya yako
 
Back
Top Bottom