Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!
Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.
Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.
Naomba kuwasilisha asantee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo lako hujaelewa thread
Nani kasema mazoezi yanafanyaka gym pekee yake maana ata jogging,pushup ni mazoezi ya kawaida na mtu sio lazima kwenda gym
Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na maarifa kidogo,kitambi kikubwa+ big boot
Nani dogoo??
Unajitoa akili dogoo au???Nani dogoo??
we jamaa mnafki sana, si umetoka kula chips kuku leo mchana?? 😂Nawataja wala chps maarufu hapa
Gily huyu kinala wao
wa kupuliza huyu chipukizi
zwenge ndaba huyu ana kitambi kama mpira wa simba
Sharamdala huyu anakula mpaka anabeba kwenye sherehe
Binadamu Mtakatifu huyu anapenda chips yai ikaukeee kama makopa
mshamba_hachekwi huyu kaiga kutoka kwa mjomba ake Half american
Ongeeni nao hao wawe makini
Mimi umeniona wapi? Wew mtoto jiangaliewe jamaa mnafki sana, si umetoka kula chips kuku leo mchana?? 😂
nafsi yako inakusutaMimi umeniona wapi? Wew mtoto jiangalie
Wewe mimi sili chips ushawai ona mjita anakula chipsnafsi yako inakusuta
uwe una balance na gym usije ukapata kitambi mzee 😂Wewe mimi sili chips ushawai ona mjita anakula chips