Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips


Bora uwaambie dume zima linaagiza chips zege rojo!!! Halafu linataka dog style wakati hata hafikii kwa bibi mtumbo mkubwa umeziba duduwasha
 
Alijisemea boya mmoja anayeshindaga gym,waache Wana na 1big pack lao wainjoi,kikaoni tulishasema hayana fyomula
 
Unashauri kwa kutukana eti FANYENI MAZOEZI VINGINEVYO NITACHAKATA MBUSUSU ZA WAKE ZENU
 
Mkuu jichunge, kuna wanaume wa Dar waleeeee wanakuja kukushikisha adabu.
 
Tafuta pesa mkuu wacha makasiriko,,

Hakuna mwanamme mwenye pesa akashindwa kumfikisha mwanamke kileleni.

Tena mwanamke anapanda mwenyewe huko kileleni,,
Wala hapandishwi na mwanaume,
 
Acha [emoji38][emoji38][emoji38] tu!! Naona jamaa wanavyosonya kwa kuwaambia ukweli mtupu ingawa watabisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona hapa post imepata Like za watu miiili yao 14!!!
 
Unafikiri wenye vitambi tuna nongwa na wake zetu Basi. We tuchapie tu kiroho safi, Ila siku tukikumata tunawatafuta wafanya mazoezi wenzako wakuchape na wewe huku wakikupaka kilanishi.
Niachaje chips kwa mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…