Kila mtu ale anachopenda. Chips zinaliwa na show za kibabe zinapigwa(si maneno yangu)Toa hayo mayai ndio maana unafunga bao moja embu kula dagaa na mrenda wa karanga
Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!
Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.
Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.
Naomba kuwasilisha asantee.
Mkuu minakula donaNawataja wala chps maarufu hapa
Gily huyu kinala wao
wa kupuliza huyu chipukizi
zwenge ndaba huyu ana kitambi kama mpira wa simba
Sharamdala huyu anakula mpaka anabeba kwenye sherehe
Binadamu Mtakatifu huyu anapenda chips yai ikaukeee kama makopa
mshamba_hachekwi huyu kaiga kutoka kwa mjomba ake Half american
Ongeeni nao hao wawe makini
Acha kujiteteaMkuu minakula dona
Chips haziachwi hapa. Chips tunakula na broiler tunakula. Suala la unene si la chips tu na broiler[emoji38]Bora uwaambie dume zima linaagiza chips zege rojo!!! Halafu linataka dog style wakati hata hafikii kwa bibi mtumbo mkubwa umeziba duduwasha
#nmeacha WOGA.Acha woga
Mkuu jichunge, kuna wanaume wa Dar waleeeee wanakuja kukushikisha adabu.Habarini wanajf wenzangu I hope mko gud that's fine...
Oh yeah!!!
fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!!
Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.
Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.
Naomba kuwasilisha asantee.
Endeleeni kula chips mtimamu nipo kuwasaidiaMkuu jichunge, kuna wanaume wa Dar waleeeee wanakuja kukushikisha adabu.
Hili jamaa lina roho mbaya kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]ye34nbe njoo Kuna kazi huku
Acha [emoji38][emoji38][emoji38] tu!! Naona jamaa wanavyosonya kwa kuwaambia ukweli mtupu ingawa watabisha sana.Habarini wanaJF wenzangu, I hope mko gud that's fine.
Oh yeah! Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu bana acheni kula chips, kunywa bia sana zinawafanya mnakuwa mabonge minyama uzembe dah it's so sad [emoji24] mwanaume unakua na buttock (mat**ko) makubwa kumzidi mke shem on you kitambi kikubwa dah!
Fanyeni mazoezi muwe na body ya kueleweka ndio maana ata mnashindwa kuwaridhisha wake zenu kwa kukosa pumzi (pull) kidogo ya kuendesha mashine yako mwisho wa siku tunawachapia kwa sababu ya uzembe wenu wa kutokufanya mazoezi na diet mbovu inayowapelekea kuwa na body kubwa.
Lasivyo tutawachapia sana wake zenu mpaka mtakapo badilika.
Naomba kuwasilisha asantee.
Naona hapa post imepata Like za watu miiili yao 14!!!Wewe ungejikita kwenye kushauri watu wafanye mazoezi, hizo hoja za kuacha kula chipsi..mara utawachapia wake zao umeharibu mada yako.
Afterall tafiti za kisasa zinaonyesha mafuta ni muhimu zaidi mwilini na yanahitajika kwa wingi..vyakula vya wanga kama wali,ugali,mihogo n.k hii ndio inayosababisha unene wa kupindukia.
Lakini cha mwisho kabisa lazima utambue kuwa BODY SIZE ni CONTINOUS VARIATION, yaani kwa lugha rahisi ni kwamba saizi ya mwili inarithiwa kutoka kwa wazazi, so kuna watu ni wanene tu hata kama wangefanyaje ni wapo hivyo..na wengine ni wembamba tu hta kama wangekula nini hawanenepi na kuwa ba nyama zembe.