THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Niliongea hapa na watu mkaleta Njaa zenu coz Watanzania wengi tunatamaa sana na tunawaza hela sana na ndio maana hata viongozi vijana nao wamejaa Rushwa because wanawaza pesa tu wakipata nafasi wapige pesa tu.
Farhan kasema nilichosema kwenye uzi wangu niliondika hapa leo
Pia soma
- Mchezaji yeyote duniani hutafuta vitu viwili tu, Kucheza na kushinda Makombe
Farhan kasema nilichosema kwenye uzi wangu niliondika hapa leo
- Mchezaji yeyote duniani hutafuta vitu viwili tu, Kucheza na kushinda Makombe