Farhan: Siku ya mwisho career ya Fei itakua judged kwa vikombe na Tuzo Binafsi

Farhan: Siku ya mwisho career ya Fei itakua judged kwa vikombe na Tuzo Binafsi

Muacheni apige pesa mna uhakika anahitaji akumbukwe kwa vikombe, pengine anahitaji pesa zaidi familia yake imkumbuke, wangapi hapa wamepata vikombe lakini njaa zimewasumbua, mpira ni mchezo wa muda mfupi, ndani ya muda mchache ni mawili pesa na vikombe, hapo kila mmoja na kipaumbele chake.. Shida ya bongo hatuthamini wachezaji wetu kimpunga, kina gerrard, totti pamoja na mapenzi yao lakini walikuwa wanapata pesa nzuri pia japo walikuwa na nafasi ya kwenda kupiga hela zaidi, ila walichokuwa wanapata kilikuwa kinakidhi.

Pili, hamuwezi jua azam walimpa mikakati gani, huenda hela anapata na timu inaonesha uelekeo. Ulaya wachezaji wengine wanasajiliwa pia kwa kuona mipango ya timu
Jifunze kwa Harry Kane, dada angu,,,

ndio maana anatapatapa Buyern Munich kusaka makombe....

Pesa bila makombe au tuzo ni umalaya tu.
 
Nitajie vikombe vinamsaidia nini mchezaji asiye na maisha?
Mchezaji gani mwenye vikombe asie na maisha?
Hivi milioni 4 alizo kua analipwa huyo jamaa pale Yanga ni ndogo ukilinganisha na maisha yetu halisi hapa bongo?

Ikiwa mwalimu tu mwenye taaluma yake na hapokei mshahara kama huo sembuse yeye kibakatu!
 
Jifunze kwa Harry Kane, dada angu,,,

ndio maana anatapatapa Buyern Munich kusaka makombe....

Pesa bila makombe au tuzo ni umalaya tu.
Umeandika kama vile huna kende, umekosa hoja unaamua kunikosea adabu, Kane sio vikombe tu, na mpunga pia pale munich anakula pauni laki 4 mara 2 ya kile alichokuwa anachukua tottenham pale.
Lakini pia msharaha aliokuwa anachukua tottenham ni unamtosheleza kuishi maisha bora akistaafu, ila fei alichokuwa anakipata yanga ni pesa mbuzi.
 
Mchezaji gani mwenye vikombe asie na maisha?
Hivi milioni 4 alizo kua analipwa huyo jamaa pale Yanga ni ndogo ukilinganisha na maisha yetu halisi hapa bongo?

Ikiwa mwalimu tu mwenye taaluma yake na hapokei mshahara kama huo sembuse yeye kibakatu!
Mwalimu anaweza fundisha miaka mingi, ila mpira hardly ni miaka 10
 
Mchezaji gani mwenye vikombe asie na maisha?
Hivi milioni 4 alizo kua analipwa huyo jamaa pale Yanga ni ndogo ukilinganisha na maisha yetu halisi hapa bongo?

Ikiwa mwalimu tu mwenye taaluma yake na hapokei mshahara kama huo sembuse yeye kibakatu!
Cannavaro Captain wa zamani wa Yanga ana maisha gani tukilinganisha na vikombe alivyobeba?

Yaani tuseme anamzidi nini mtu kama Himid Mao mwenye kikombe kimoja tu cha ligi
 
Back
Top Bottom