Farhan: Siku ya mwisho career ya Fei itakua judged kwa vikombe na Tuzo Binafsi

Farhan: Siku ya mwisho career ya Fei itakua judged kwa vikombe na Tuzo Binafsi

Ila sasa Fei alitaka hicho akanyimwa alifata tamaa ila alikua na uwezo akaa na washauri wake akashauriana jaman naombeni ongezeko na tunaomba tufanye marekebisho ya vipengele unahisi wangegoma?
Huenda alijaribu ikashindikana, hatujui wanajuana wenyewe.
Ila kama hakuomba hilo akaanzisha tu migomo baridi, basi alikosea sana
 
Huenda alijaribu ikashindikana, hatujui wanajuana wenyewe.
Ila kama hakuomba hilo akaanzisha tu migomo baridi, basi alikosea sana
Sawa Mkuu hapo nimekuelewa na tumeelewana.
Nakubaliana na wewe kama Yanga waligoma basi walikosea pia ila kama pia Fei hakuomba alitamani tu kule akaona aanzishe vurugu basi alikosea as you said.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Uyo Farhan ni nani kiasi kwamba anachokisema ndio kiwe hitimisho la mjadala?. Mchezaji yoyote akiwa kwenye peak lazima aangalie ulinganisho wa mataji na masilahi kwamba ni wapi anaweza kupata vyote viwili, dau alilowekewa azam ni kubwa sana kuliko ambalo angepewa yanga akichokosea fei ni kuvunja mkataba kihuni. Fei toto kacheza azam msimu mmoja tu bado ni mapema kumuhukumu.
Nimekupa Reference acha utoto mi nimesema tu na nimekupa reference yangu mwenyewe kuonyesha hata mimi nililisema kabala hata Farhan hajalisema nae.
 
Nimekupa Reference acha utoto mi nimesema tu na nimekupa reference yangu mwenyewe kuonyesha hata mimi nililisema kabala hata Farhan hajalisema nae.
Umetumia andiko la farhan kuonesha msisitizo wa ulichokisema ndio maana nikauliza uyo jamaa ni nani? ameshafanya makubwa gani kwenye sekta ya soka kiasi kwamba anachokisema kitumike kama rejea ya kuipa nguvu hoja yako?
 
Mkuu, mbona umeikuza sana kauli ya Farhan? Kwani yeye ana uzito gani hadi kila anachowaza kuhusu soka kiwe sahihi?

Yeye si mtangazaji tu wa Clouds FM? Si mtangazaji tu kama Baba Levo na Mwijaku? Tusiwakuze sana hawa watu kwa vile wako redioni.

Hata wao wakati mwingine huwa na mawazo ya kipuuzi tu yanayopaswa kupuuzwa kama maoni mengine ya kipuuzi.

Nashauri, tuwe na kiasi na hawa watu. Tusijimalize kiasi hiki.

Ova
Ndio kitu nimejiuliza ....huyo jamaa ni Nani hasa..?
 
Haya maisha ya kupangiana cha kuchagua yameanza lini?
Yaani unampangia mtu achague vikombe badala pesa , wewe kama nani?

Feitoto kachagua pesa badala ya vikombe mwacheni na chaguo lake. Acheni roho za chuki . Nyie kila mchezaji akihama toka timu yenu kama bado mna mapenzi naye inakuwa vita.
 
We jamaa vikombe ndivyo vinaleta pesa na bonus kibao.

Tuzo binafsi pia huleta pesa na hizo tuzo zenyewe ni pesa ukiamua kuziuza.

Kina Ronaldo na Messi kawafuatilie UEF zimewapaje hela pamoja na LALIGA.
Kwanza achana na kina Ronaldo na Messi. Rudi Tanganyika, thamani ya ligi inayotoa hivyo vikombe unavyotaka wachezaji wavitazame badala ya pesa unaifahamu lakini?
 
Haya maisha ya kupangiana cha kuchagua yameanza lini?
Yaani unampangia mtu achague vikombe badala pesa , wewe kama nani?

Feitoto kachagua pesa badala ya vikombe mwacheni na chaguo lake. Acheni roho za chuki . Nyie kila mchezaji akihama toka timu yenu kama bado mna mapenzi naye inakuwa vita.
Unadhani Fei angekuwa anafanya vibaya wimbo ungekuwa vikombe vs Pesa?
 
Je hivyo vikombe vitaosaidiaje familia yake na vitamsaidia nini

Haujui maisha ya mpira ni mafupi Sana .

Muache kijana atengeneze hela msimpangie maisha maana atakapokuwa hana kitu hamtoweza kumsaidia chochote zaidi ya kumcheka tu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Fei anatakiwa ajue kuwa sehemu sahihi ya kuiumiza yanga ni kwenda simba ambayo ipo inajengwa upya na itachukua makombe na kuipiga yanga kirahisi siku za usoni
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Fei anatakiwa ajue kuwa sehemu sahihi ya kuiumiza yanga ni kwenda simba ambayo ipo inajengwa upya na itachukua makombe na kuipiga yanga kirahisi siku za usoni
Fei hana sababu ya kushindana na Yanga. Aendelee kucheza soka, ajitume mafanikio yatakuja. Ana miaka kama mi4 ya kucheza soka katika kiwango kizuri iwapo atakuwa fit
 
boss mimi nimekujibu fact

mtazame ronaldo,messi,ronaldinho na mbape n.k CV zinawabeba kupitia makombe.
Hao wachezaji uliowataja kila ukifika muda wa ku renew mkataba walikuwa wanademand pesa nyingi sana bob. Wachezaji now days wana ajents kila kitu ni business. Hao madrid last season walikuwa tayari kuvunja record ya usajiri for mbape, soccer ni budiness kila kitu ni pesa
 
Muacheni apige pesa mna uhakika anahitaji akumbukwe kwa vikombe, pengine anahitaji pesa zaidi familia yake imkumbuke, wangapi hapa wamepata vikombe lakini njaa zimewasumbua, mpira ni mchezo wa muda mfupi, ndani ya muda mchache ni mawili pesa na vikombe, hapo kila mmoja na kipaumbele chake.. Shida ya bongo hatuthamini wachezaji wetu kimpunga, kina gerrard, totti pamoja na mapenzi yao lakini walikuwa wanapata pesa nzuri pia japo walikuwa na nafasi ya kwenda kupiga hela zaidi, ila walichokuwa wanapata kilikuwa kinakidhi.

Pili, hamuwezi jua azam walimpa mikakati gani, huenda hela anapata na timu inaonesha uelekeo. Ulaya wachezaji wengine wanasajiliwa pia kwa kuona mipango ya timu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kama stori tunazozisikia ni za kweli mimi siwezi ng'ang'ania vikombe kwa mil4 nikaacha mil16 mkuu
Hata mimi siwezi acha hiyo, ila naomba nijibu ukiwa na mshahara wa Mil 4 huna maisha wewe? Hii ndio mantiki yangu katika upotoshaji unaoendelea
 
Back
Top Bottom