mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Kama ishu ni pesa tu mbona Dogo alisepa kuvalishwa medali? Alichukia nin?angekuwa anacheza ulaya sawa mana mataji ya kule yana hadhi zaidi ila kwa bongo apa cha kwanza ni mshiko.
pesa na ubingwa wa ligi ya Tanzania bara.. bora pesa.