Farhia Middley: Napenda wanaume warefu, handsome, maji ya kunde na wenye kunyoa O ndevu zao

Kwamba hadi sasa Farhia bado hajaolewa?.Km ndivyo basi kuna tatizo sehemu,tuwalaumu Wanaume wa Dar.
 
Sasa mbona kama umelia sana kwenye kujieleza, ilikuwa inatosha kusema huvutiwi na wanawake wanene ungeeleweka na siyo kutumia lugha uliyotumia. Wapo wenzio wenye kuvutiwa na hao unaotumia lugha chafu kuwaelelzea. Jitahidi kuficha wehu wako unapocomment hapa JF (umbwa wa head)
 
Wewe utakuwa ni K kibonge maana sio kwa povu hilo.
 
Usikate tamaa mkuu,subiri hao wenye kunyoa O wakifulia atakutafuta tu,hawakawii kusema ulikuwa ni utoto...
 
Halafu wewe ungezaliwa kutokea wapi

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
wala nisingezaliwa, ningekuwa malaika mmojawapo tu huko mbinguni fresh tu. kuna raha gani sasa kuzaliwa kwenye nchi watu wanapiga pesa, uza bandari, jana tumelipa mabilioni ya ndege ambayo tunajua pesa zingien zitaenda mfukoni mwa waliosababisha hayo yatokee? ila tutapambana hadi kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…