Farhia Middley: Napenda wanaume warefu, handsome, maji ya kunde na wenye kunyoa O ndevu zao

Farhia Middley: Napenda wanaume warefu, handsome, maji ya kunde na wenye kunyoa O ndevu zao

wala nisingezaliwa, ningekuwa malaika mmojawapo tu huko mbinguni fresh tu. kuna raha gani sasa kuzaliwa kwenye nchi watu wanapiga pesa, uza bandari, jana tumelipa mabilioni ya ndege ambayo tunajua pesa zingien zitaenda mfukoni mwa waliosababisha hayo yatokee? ila tutapambana hadi kieleweke.
Ha ha ha ha malaika eti, usikate tamaa nukumuomba Mungu atuepushie mabalaa yanayoendelea na sio kwamba haoni anaona sana, anawalia timing tu, wewe endelea kuomba usichoke mwambie apite katikati ya nchi afumue fumue kila uozo wote.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ha ha ha ha malaika eti, usikate tamaa nukumuomba Mungu atuepushie mabalaa yanayoendelea na sio kwamba haoni anaona sana, anawalia timing tu, wewe endelea kuomba usichoke mwambie apite katikati ya nchi afumue fumue kila uozo wote.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
MUngu atashuka tu siku moja kututetea.
 
kwa unene alionao...ataimba sana. Wanaume wenye sifa hizo hatupendi matenki. na si wa simanjiro yule? kitu iko poa au ndiyo hivyo tena ile habari yake ilishatolewa??
Hata ikitolea kama tundu halijaziba bado atafaa kwa matumizi lengwa.
 
Haya mnaomtaka huyu Dada Mtangazaji wa Radio One na ITV Farhia Middley tayari ameshawawekea Vigezo vyake hivyo Kazi Kwenu.

Chanzo: Kipindi changu Pendwa cha Mazungumzo ya Familia na Radio One Leo Jumapili kinachoanza Saa 1 na Nusu Asubuhi hadi Saa 4 Kamili.

Haya Kwa wale Wenzangu akina Emolo (Mbilikimo), Weusi kama Mkaa, tuna Sura Kunyanzi (Sura Mbaya) na Wanyoa Upara na Ndevu zote kama GENTAMIYCINE wala tusippteze muda Kumtongoza kwani hatuna Vigezo avitakavyo Mmaasai wa Watu.
kasoro unyoaji wa ndevu za o ndo sina hapa na uhandsome ile vingine vipo
 
Back
Top Bottom