Farhia Middley: Napenda wanaume warefu, handsome, maji ya kunde na wenye kunyoa O ndevu zao

Ha ha ha ha malaika eti, usikate tamaa nukumuomba Mungu atuepushie mabalaa yanayoendelea na sio kwamba haoni anaona sana, anawalia timing tu, wewe endelea kuomba usichoke mwambie apite katikati ya nchi afumue fumue kila uozo wote.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
MUngu atashuka tu siku moja kututetea.
 
kwa unene alionao...ataimba sana. Wanaume wenye sifa hizo hatupendi matenki. na si wa simanjiro yule? kitu iko poa au ndiyo hivyo tena ile habari yake ilishatolewa??
Hata ikitolea kama tundu halijaziba bado atafaa kwa matumizi lengwa.
 
Yule muhutu sijui mtutsi wa jamii forum mfupi ana kitambi amekoswa na fursa hii
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ siku zote unataka hiki kinakuja hiki
 
kasoro unyoaji wa ndevu za o ndo sina hapa na uhandsome ile vingine vipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…