Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
THAT'S THE POINT! ๐๐พHii movie ya mission impossible ni Kama huwa Wana tuonyesha Siri zao.
๐Kuna technology balaaa
Yeah jamaa nae mbishiDah sija iangalia hiyo, gerlad Butler naye ana Jitahidi.
๐Nili anagalia trailer
Ndio maana nikasema MI ina maujanja mnoHii movie ya mission impossible ni Kama huwa Wana tuonyesha Siri zao.
๐Kuna technology balaaa
Ukweli F&F haiwezi ifikia MI hata waunganishe F&F zoteHapa tunasema mi, na fast na sio Jason momoa kama character, kwa upande wangu mission impossible ni hatari, fast sijawahi elewa ata moja, hivi mnacheza na tom, cha kwanza
Anacheza mwenyewe kila scene yani hadi za hatari kama jack chan
Yeah, ana Ingiza watu wenye majina- still impact yao ndogo.Fast furious mwisho mi fast 8. Hayo mengine yaliyofuata ni akili zilizochoka za Van Diesel na kutaka kumilikk franchise tu. Ingawa sijaona FastX lakini najua itakuwa utopolo tu. Inatakiwa aingize watu wapya ktk ku develop story. Naiona ikifa kibudu kama Resident Evil tuu
MI force is best
Kaka tuko pamoja, angalia mi 7 part one ๐ฅ๐ฅ ilivyo isha- Kisha fananisha fast x part one ni vituko tu๐Fananisha MI na Bourne Identity siyo na hao makompyuta
ni vitu tofauti tom ni balaa nyingine mzee mission impossible naichukuaWe bado dogo mno huwezi mlinganisha vin na huyo shoga mwenzio
Iris ilinifanya nisilale na merlinMission Impossible ni akili tupu zilizozidi maarifa ya kibinadam.
Mpaka sasa ni 95% kwenye huu uzi MI imejizolea points zote kuwa ni bora zaidi na haiwezi kuboa kurudia rudia kuitazama wakati wowote.
Nimeikumbuka IRIS ambapo ni the best leading series of all time since 2010.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na pia ni actor anayejua kutumia vitu vingi sana mpaka fighter jet anaendesha hata ndehge za kawaidaSijawahi kuchoka kumtazama Tom cruise!... anajua sana yule mzee!
Kuna documentary niliwahi kutazama, inasemekana anaweza akawa ni mmoja wa maafisa usalama wa Marekani, maana anayajua mengi mno! Ana syndicate tele huwa anaziigiza kwenye movie zake lakini huwa anaziwasilisha indirectly! Kumuelewa inataka akili kubwa na wachache huwa wanamuelewa.
Hata inasemekana ni miongoni mwa actors wenye ulinzi mkali na mzito marekani na sehemu zingine (Inshort ni actor anayelindwa zaidi duniani! Na sio rahisi kukutana nae au kumuona ukamsogelea kama huku na kupiga nae story)... someni mtandaoni au tafuteni videos kama mnabishana na hili.
Ila hao wahuni hapo tangu afe Paul walker naona na mimi nilikufa nae ๐๐๐พ
Nimeichek Fast X binafsi haijanibamba kihivyo!Fast furious mwisho mi fast 8. Hayo mengine yaliyofuata ni akili zilizochoka za Van Diesel na kutaka kumilikk franchise tu. Ingawa sijaona FastX lakini najua itakuwa utopolo tu. Inatakiwa aingize watu wapya ktk ku develop story. Naiona ikifa kibudu kama Resident Evil tuu
MI force is best