jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
[emoji28][emoji28]h
hii nyongo uliyotema huwezi kosa mimba changa ya mwezi mmoja na kitu
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28]h
hii nyongo uliyotema huwezi kosa mimba changa ya mwezi mmoja na kitu
Kama ulikuwa hukijui basi kwako kimeongezeka?!Hivi vyeo siku hizi vimeongezeka hatari. Mpaka vya kudhibiti fedha haramu. Au kila zama na wakati wake?
Anapendelea ndio..kaanza kuonyesha udini kwenye teuzi anazofanya..lazima ukute kanzu na hijabu za kutosha kama sio zote.We ndio kilaza ..
Mi nawatuliza hawa walionza kusema mama anapendelea
Waislamu wanagaiana vyeo tu [emoji6][emoji6][emoji6]
Binti bado hujapata mume?Mkuu jishike sana,
Kwani hijabu zinakukela?Anapendelea ndio..kaanza kuonyesha udini kwenye teuzi anazofanya..lazima ukute kanzu na hijabu za kutosha kama sio zote.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mwendawazimu alikua hivi hivi ,aligawa sana vyeo kwa Warundi waliojificha kwenye Usukuma. Watu walikua na majina ya ajabu ya kihutu na kitusi.Waislamu wanagaiana vyeo tu 😉😉😉
Vaa basi majaniSlavery mentality
Waislamu wanagaiana vyeo tu [emoji6][emoji6][emoji6]
Fedha kama KUHONGWAFedha haramu zikoje wataalamu mtuambie!
Hivi wakati wa ziara za Hayati JPM zile maburungutu ya fedha zilizokuwa zinatolewa hadharani zilikuwa halali au Haramu?!
Mbona siku hizi hatuzioni zikitolewa?
Je yule aliyekuwa anabeba mkoba ule alilipwq ngapi na yuko wapi? Mwenye fununu atujuze. Kazi yaendelea!
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Tulia tuulia wewe! Hukuwhi mkosoa Dikteta Magufuli alivyo kuwa anateua wahutu wenzake serikalini. Kuwa mpole.