Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesoma huyo hawezi kufa na njaaSio geni, aungane na jobless wengine mtaani akiwemo jobless namba moja albert Bashite
Hujajua nikuwa Kwa sasahivi taasisi zote za binafsi zinanunuliwa na jiwe zote zikiwemo TV, radio, nagazeti na misikiti, hivyo alienunua ndio kamfukuza, na zile za umma ni amri tu, kwani hujui had cuf, nccr na ile Ya mrema na shibuda zilishanunuliwa? Kama hujui kununuliwa ingia ubunge Au udiwani uone kesho yake watu watakuja na beiNadhani tasnia ya sheria itakuwa hairuhusu kuingia kwenye siasa, uanaharakati, kutokea hapo ndipo wakaamua watapoteza wateja hasa wanaotokea upande wa pili wa kisiasa so wanaona liwalo na liwe.
Aitha walikaa naye kitako na kumwambia 'eeh bana tenda haziji kwa sasa na wewe ndiye sababu so tuna Act kukuondoa but behind bado ni mdau.
Kweli mna matumainiCdm wakishinda uchaguzi mkuu anaweza kulamba uwazili wa sheria....
ni kama ndoto vile.....
Umeisoma hiyo barua vizuri ukaielewa? Kuna sehemu yoyote wamemuandika kama employee?Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
Nyie MACCM kweli hamjui kiingereza hata kidogo, barua inasema ni Partener wao, sijui unajua maana ya partner ni nini kwenye business.Share kawa nazo lini? Kelele tu yule ila hamna kitu, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi hata moja
Kuna coercion and intimidations to these poor companies ili zi-part ways na Karume.Baada ya Imma advocates kumlima barua Fatma Karume, shangazi amejibu kwa kuonyesha hisia zake kufukuzwa kwenye taasisi ambayo amechangia kuijenga huku akidai kosa ni uanaharakati. Fatma ameenda mbali na kusema heri kumfadhili Mbuzi utampika umle mchuzi.
Tarehe 16 Septemba wabia wenzake kwenye mtaji walikaa pembeni na kumjadili na kuamua aondoke bila kumwambia sababu.
Ndoto ya kutishaCdm wakishinda uchaguzi mkuu anaweza kulamba uwazili wa sheria....
ni kama ndoto vile.....
we kati ya vilaza fatuma ni wakili mwenye uwezo mkubwa kwa kujenga hoja na kauza jina sna pale Fatuma ni wakili ambae anaweza argue kesi kwa kingereza fruequent hata uk fatuma anaweza kukuteteaShare kawa nazo lini? Kelele tu yule ila hamna kitu, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi hata moja
Hatalipwa mshaharaUsipoitaja Chadema kuna kipele kinakuwasha?
Mwambie Ivuga nimewahi kwa wazuri mkuu.U wish[emoji854]
🤔🤔U wish🙃