suley hazard
Member
- May 19, 2014
- 61
- 116
Dah kwa style hii ndiyo maana mbogamboga wanashinda chaguzi zote. Yaaani hata barua simple kama hiyo watu hawaielewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
Leseni ipo kizuizini au imefutwa!Amesoma huyo hawezi kufa na njaa
Yaani wewe😆😆😆😆😆Sio geni, aungane na jobless wengine mtaani akiwemo jobless namba moja albert Bashite
Ujinga mzigo kweli mtoto wa raisi anaondolewa kwenye biashara mtoto wa pangu pakavu anacheka hiiiiKanajishebedua tu
Kumbe IMMMA ni ya maccm au
😀😀😀Naskia leo panyabuku wa kijani mpo tabora🙃!( Hoja hapa Nikuvuruge mpare wewe)Mwambie Ivuga nimewahi kwa wazuri mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi huyu Ivuga anatakaje kulia sahani na kijiko cha kakake! Tuachane na hao wa kijani Wangari, kamoyo kangu ndio kila kitu ujuwe[emoji39][emoji125][emoji125][emoji3][emoji3][emoji3]Naskia leo panyabuku wa kijani mpo tabora[emoji854]!( Hoja hapa Nikuvuruge mpare wewe)
Ndio hayo anayosema Tundu Lisu, mtu anakarikari tuuuu, ukimchenjia kidogo anapata zero. Unaambiwa ni partner, unasema employee?!?!!!!! Kweli elimu hii inahitaji overhauling kuanzia rais mpaka mwalimu wa upe!Umeisoma hiyo barua vizuri ukaielewa? Kuna sehemu yoyote wamemuandika kama employee?
Ivuga kuwadi tu😀😀😀(jokes)[emoji23][emoji23][emoji23] hivi huyu Ivuga anatakaje kulia sahani na kijiko cha kakake! Tuachane na hao wa kijani Wangari, kamoyo kangu ndio kila kitu ujuwe[emoji39][emoji125][emoji125]
Naamini mimi ndiye mtekaji wa hako kamoyo, I'm relieved kwa kweli. 😋Ivuga kuwadi tu😀😀😀(jokes)
Hiyo document imeeleza yote unayoulizaKwani alikuwa ameajiriwa au ni partner (ana share)?
hakuajiriwa alikua partnerKuna Clip moja haka kamama Kanasema kuwa Yeye ni Mmoja WA Directors
Pia lile Jengo ni lake na IMMMA Ka Rent house,
Kumbe kaliajiriwa pale
Sishirikiani na mafarisayo aka maccm🙃Naamini mimi ndiye mtekaji wa hako kamoyo, I'm relieved kwa kweli. 😋
Hahahaha!we kati ya vilaza fatuma ni wakili mwenye uwezo mkubwa kwa kujenga hoja na kauza jina sna pale Fatuma ni wakili ambae anaweza argue kesi kwa kingereza fruequent hata uk fatuma anaweza kukutetea