Fatma Karume: Bandari haijauzwa, hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai, acheni ubaguzi ni ushamba

Bandari la au bandari ya au libandari la?
 
Kwa hiyo AG ndio anaangushiwa jumba bovu. Bunge limepitisha Azimio baadaye ni bunge ambalo wabunge wengi na Spika ni Watanganyika ndio waliruhusu na kuridhia huu mkataba. Kazi iko.

Attorney General Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi anayeongoza Ofisi iliyosheheni wasomi kibao kuandaa mikataba na kuishauri taasisi ya urais
Biografia:
 
Huyu mbaguzi namba moja
Just let you know ‘ Tanganyika ndio tunahitaji’
Yah likija suala la uzanzibari anakuwa biased hapo hawezi seema ukweli kisa raisi na waziri wote wazenj na kampuni ni ya waarab na yeye najiona mwarabu. Ila hapa issue sio kampuni kuwa ya waarab, ni terms zinazotumika kuingia mikataba kama zina faida kwa nchi na hilo hawezi lizungumzia na kama akilizungumzia atafumba macho kwenye ubaya
 
ipo wazi mzanzibar yoyote anamuona mwalabu WA thamani kuliko mTannganyika kiufupi nyerere alituingiza chaka
Nyerere hakutuingiza Chaka ,yeye alifanya Kwa uwezo wake mpaka alipoishia,alidhani kuwa Watanganyika tuko smart kuliko machotara wazanzibar,kumbe ni tofauti kabisa,Watanganyika hatujiamini Tena,tunamuona mzanzibar kama mwarabumwerevu kabisa,Mwanachi wa Zanzibar ni mwarabu Kwa damu kabisa!Historia ya bwagaMoyo haikukomeshwa sawasawa naona Sasa inaanza kujirudia,TISS hawana mipango madhubuti ya kuwafanya Hawa waarabu Koko Zanzibar kupotea kabisa.(wao ndo wanatutokomeza mdogomdogo).
IPO SIKU TANGANYIKA ITASIMAMA TENA.
 
Wao ni wazanzibar daima dumu
Wao wanajiita wazanzibar
Wana serikali yao
Wana nchi yao
Wana kila kitu chao
Wana vitambulisho vyao
Wanajitambulisha kama wazanzibar kokote duniani
Ni wakati kula RASILIMALI ZA TANGANYIKA PEKEE NDIO WANAJIITA WATANZANIA WAKISHIBA wanaendelea kujitambulisha kama Wazanzibar
 
Kwani hakuna Zanzibar na wazanzibar ??
Hawana nchi yao na serikali yao ??
Katiba yao ndio msingi wa kujibagua
Hakuna mtanganyika mbaguzi bali ni wazanzibar ndio wanajibagua kwa kila kitu kwa mujibu wa katiba yao wenyewe
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…