Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Hii hoja kuna mtu pia kaanzisha thread kuuliza swali kama hili jibu hata mimi sina mkuuHivi mkataba wameingia na Dubai kama nchi au kampuni!? Maana Dubai kama Zanzibar tu sio nchi kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hoja kuna mtu pia kaanzisha thread kuuliza swali kama hili jibu hata mimi sina mkuuHivi mkataba wameingia na Dubai kama nchi au kampuni!? Maana Dubai kama Zanzibar tu sio nchi kamili
Huyu alikuwa anamtukana Magufuli sababu za kiukabila kwa kweli.Ninaemuona genuine ni Maria Sarungi kwa kweli.Fatma ana uzanzibari.Shangazi anafeli, njaa mbaya
Ameandika kupitia ukurasa wa mtandao wake wa Twitter mwanaharakati na mwanasheria maarufu nchini Fatma Karume
"Hao WAARABU msiowapenda wameweza kufanya MAPINDUZI ya Kiuchumu nchii zao kwenye kipindi kifupi sana. Dubai haitegemei mafuta.Badala ya kubaguwa basi ndugu zangu tujifunze.Acheni UBAGUZI Jamani. Ni USHAMBA tu."
Kwa maoni yangu: Hakuna tatizo kufanya biashara na Dubai lakini TERMS za MKATABA lazima ziwe FAIR.Hatuwezi kuwapa “sovereignty” yetu.
Pia Fatma ameandika
"Hakuna aliyeuza BANDARI la Dar.Hoja ni MKATABA wa Kimataifa baina ya Dubai na Tanzania na vipengele vichache vinavyoathiri “sovereignty” yetu.WAPUMBAVU ndie wanaleta ujinga wa*Rais ni KE. WaTZ hawatomuamini rais KE tena.*Rais ni MZNZ anauza mali ya TNG*Uarabu".
View attachment 2653915
Kwa hiyo AG ndio anaangushiwa jumba bovu. Bunge limepitisha Azimio baadaye ni bunge ambalo wabunge wengi na Spika ni Watanganyika ndio waliruhusu na kuridhia huu mkataba. Kazi iko.
Judge Dr. Eliezer Mbuki Feleshi acquired his Bachelor of Laws (LLB)(Hons)at the University of Dar es Salaam from the year 1991 to 1994. He later completed his Master of Law (LLM)at the University of Dar es Salaam, in 2005 majoring in Criminal Law, Criminal Procedure and Criminology and Penology. In 2011 he was awarded a PhD (Law) in Criminology and Penology at the University of Dar es Salaam..... READ MORE : https://www.agctz.go.tz/administration/members/attorney-general
Wazanzibar wote wako aina hiyo, watu wa vijembe vijembe tu.Kwani nani aliyesema bandari inauzwa?
Huyu mama anapenda kusutana, sijui kasomea wapi sheria za kusutana...
Tumejaaliwa akili za kutengeneza muvi na kuzicheza ila akili za kutatua matatizo yetu ndio bado hatuna. Amaa kweli mpaji hagawi vyoteKuna tetesi kwamba Halima pia alipenyezewa ukwasi ili akianzishe mjengoni, kisha skipa apate gape la kutoa ufafanuzi ulio andaliwa kwa ustadi mujarab kabisa.
Yah likija suala la uzanzibari anakuwa biased hapo hawezi seema ukweli kisa raisi na waziri wote wazenj na kampuni ni ya waarab na yeye najiona mwarabu. Ila hapa issue sio kampuni kuwa ya waarab, ni terms zinazotumika kuingia mikataba kama zina faida kwa nchi na hilo hawezi lizungumzia na kama akilizungumzia atafumba macho kwenye ubayaHuyu mbaguzi namba moja
Just let you know ‘ Tanganyika ndio tunahitaji’
Kwa hiyo sie wapiga-kura ndiyo kusema hatutambuliki hadi ilee 2025?Mkuu Jasmoni Tegga
Ndio kusema show imeisha mkataba umesainiwa na bunge limegonga nyundo!
Kwa sasa ni kutulia na kuona utekelezaji sisi wananchi wa kawaida hatuna la kufanya tena.
Kama ilivyokua ile ya KIA mwaka jana…
Na Shangazi alivyokuwa mbishi, hakawii kusema hiko ndicho chenyewe Kiswahili cha Zenj sasa. hahahaBandari la au bandari ya au libandari la?
Nyerere hakutuingiza Chaka ,yeye alifanya Kwa uwezo wake mpaka alipoishia,alidhani kuwa Watanganyika tuko smart kuliko machotara wazanzibar,kumbe ni tofauti kabisa,Watanganyika hatujiamini Tena,tunamuona mzanzibar kama mwarabumwerevu kabisa,Mwanachi wa Zanzibar ni mwarabu Kwa damu kabisa!Historia ya bwagaMoyo haikukomeshwa sawasawa naona Sasa inaanza kujirudia,TISS hawana mipango madhubuti ya kuwafanya Hawa waarabu Koko Zanzibar kupotea kabisa.(wao ndo wanatutokomeza mdogomdogo).ipo wazi mzanzibar yoyote anamuona mwalabu WA thamani kuliko mTannganyika kiufupi nyerere alituingiza chaka
4 mgawanyo wa mali faida,Kodi uendeshaji ikoje?Wameshindwa kujibu maswali muhimu na rahisi:
1) Mkataba ni wa miaka mingapi?
2) Nani atakuwa akimsimamia mwingine pale bandarini -- TPA ama DP World?
3) Tusiporidhika nao kama taifa, au tukiona utendaji wao sasa hatuuhitaji, tunaweza kuvunja mkataba?
Mbona anasema alishalimaliza yeye mwenyewe tena kwa ufanisi, hadi Fei kasajiliwa na Azam? Au naota?Ya Fei yamemshinda kahamia huku sasa
Aisee!Wao ni wazanzibar daima dumu
Wao wanajiita wazanzibar
Wana serikali yao
Wana nchi yao
Wana kila kitu chao
Wana vitambulisho vyao
Wanajitambulisha kama wazanzibar kokote duniani
Ni wakati kula RASILIMALI ZA TANGANYIKA PEKEE NDIO WANAJIITA WATANZANIA WAKISHIBA wanaendelea kujitambulisha kama Wazanzibar