Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Ni mwanaharakati huyu ila hajuwi anafanya nini, hajabu sana.Mimi niliona aibu kwa mara ya kwanza kuwa mwanasheria siku shangazi alipoenda kuargue mahakamani kwa kutumia sheria iliyokuwa imeshafutwa. Yaani sitasahau maishani mwangu 😪😪
Na mtu aliyekuwa analiongoza mlikuwa mnamuangalia tu mpaka alipofanya mkutano Mwanza? Kwa nini msishitakiwe kwa kuhatarisha maisha ya viongozi kwa kumuachia kiongozi wa magaidi aendelee na mipango yake ya kuua viongozi wetu bila kumchukulia hatua? Na iyakuwa vyema vilevile tukifahamishwa ni viongozi wangapi amewaua au amejaribu kuwaua.Mna genge lenu la ugaidi kuua viongozi, imejulikana na mtanyooshwa.
Hakuna ms.enge yeyote wa Chadema atakayekwenda kumkomboa Mbowe, watabaki wanahaha tu mitandaoni kwani wanajuwa wakifanya kinyume na hapo nao wanakwenda kuolewa jela na kunyea ndoo. Sitoshangaa kwa wanaharakati wa Tanzania kuanza kumkashifu Mbowe kwa sababu wanajuwa anakwenda kuolewa jela, tuna wanaharakati wapuuzi sana hapa nchini kwetu. Jana eti Lissu anawaamasisha wananchi wa Mwanza waingie mtaani kuandamana kudai katiba wakati yeye yuko Ulaya anabinywa pumbu na wazungu, kama siyo usenge huu ni nini? Kama kweli yeye ni mwanamme haswa, kwanini asirudi hapa Tanzania kuja kuandamana na wananchi wa Mwanza?Wote akili zenu kama Mbowe tu, Div 0. Mbowe kajiona mbabe na kuanza kuzunguka nchi nzima kumdharau mh. Rais sbb ameona ni mwanamke kaona hamfanyi kitu, sasa atanyea debe hadi anyooke. Sasa mnapiga makelele mitandaoni, mfuateni msaidieni, nendeni, makamanda feki mmebakia mitandaoni tu, nendeni mkamsaidie. Sasa case yake inakuja kali sana, makamanda feki nendeni, acheni kuongea tu mitandaoni, mnajifunza ugaidi, miaka 100 jela pumbaf
Wapigie simu uwaulize, utakua uneamua kuwa mpumbavu kwa hiari yako, hujasikia taarifa ya polisi kuwa mbowe alikua na taarifa atatakiwa muda wowote akaitumia fursa ya kujihusisha na kongamano ionekaneMijitu inayojifanya haijui siasa takataka za Bongo napata tabu Sana kuwaelewa..kwa Nini hawakumkamata kabla ya kongamano la KATIBA
hivi umemsikiliza mtu wa polisi alihosema kuhusu mbowe kufanya timing? Wewe endelea na upumbavu wako wa kuzaliwa. Sina cha kukuambia...Na mtu aliyekuwa analiongoza mlikuwa mnamuangalia tu mpaka alipofanya mkutano Mwanza? Kwa nini msishitakiwe kwa kuhatarisha maisha ya viongozi kwa kumuachia kiongozi wa magaidi aendelee na mipango yake ya kuua viongozi wetu bila kumchukulia hatua? Na iyakuwa vyema vilevile tukifahamishwa ni viongozi wangapi amewaua au amejaribu kuwaua.
Amandla...
Tena huko jela masela watakua wana usongo nae sana..Hakuna ms.enge yeyote wa Chadema atakayekwenda kumkomboa Mbowe, watabaki wanahaha tu mitandaoni kwani wanajuwa wakifanya kinyume na hapo nao wanakwenda kuolewa jela na kunyea ndoo. Sitoshangaa kwa wanaharakati wa Tanzania kuanza kumkashifu Mbowe kwa sababu wanajuwa anakwenda kuolewa jela, tuna wanaharakati wapuuzi sana hapa nchini kwetu. Jana eti Lissu anawaamasisha wananchi wa Mwanza waingie mtaani kuandamana kudai katiba wakati yeye yuko Ulaya anabinywa pumbu na wazungu, kama siyo usenge huu ni nini? Kama kweli yeye ni mwanamme haswa, kwanini asirudi hapa Tanzania kuja kuandamana na wananchi wa Mwanza?
[emoji106]Mama Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania achaneni na huo ubaguzi wa kutuletea u-zanzibar na u-bara
Tatizo lenu mlijua yeye ni rahisi kwenu sasa mnachanganyikiwa kugundua sio rahisi ila ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Mungu akutunze mama yetu, tunakuamini 100[emoji123][emoji120]
Unasoma post zipi wewe? Kuna mtu anatukanwa humu kama Mbowe? Vijana WOTE mmekuwa viwanda vya matusi. Na uzuri ni kuwa JF ya leo inawaruhusu pande zote mtukane matusi ya nguoni kadri mnavyopenda. Inasikitisha sana.WANAUFIPA INJE NA MATUSI HAKUNA KINGINE WANAFIKILIA. HIVI HAMUINI AIBU KUITWA KIWANDA CHA MATUSI?? KILA POST ZENU NYINYI NIKUPOST MATUSI TUUU. AU MNAMATATIZO GANI??
Na kila wanachosema polisi ni kweli? Kama ada, unakimbilia matusi. JF kweli imeingiliwa.Wapigie simu uwaulize, utakua uneamua kuwa mpumbavu kwa hiari yako, hujasikia taarifa ya polisi kuwa mbowe alikua na taarifa atatakiwa muda wowote akaitumia fursa ya kujihusisha na kongamano ionekane
hivi umemsikiliza mtu wa polisi alihosema kuhusu mbowe kufanya timing? Wewe endelea na upumbavu wako wa kuzaliwa. Sina cha kukuambia...
Kumbaf mwenyewe.Wote akili zenu kama Mbowe tu, Div 0. Mbowe kajiona mbabe na kuanza kuzunguka nchi nzima kumdharau mh. Rais sbb ameona ni mwanamke kaona hamfanyi kitu, sasa atanyea debe hadi anyooke. Sasa mnapiga makelele mitandaoni, mfuateni msaidieni, nendeni, makamanda feki mmebakia mitandaoni tu, nendeni mkamsaidie. Sasa case yake inakuja kali sana, makamanda feki nendeni, acheni kuongea tu mitandaoni, mnajifunza ugaidi, miaka 100 jela pumbaf
UFIPA BILA MATUSI HAMNA KIKUNDI PALE. KILA POST ZENU ZOTE LAZIMA MPOROMOSHE MATUSI. HIVI HAMNA SERA MBADALA, MPAKA MTUKANANE TUUU???Unasoma post zipi wewe? Kuna mtu anatukanwa humu kama Mbowe? Vijana WOTE mmekuwa viwanda vya matusi. Na uzuri ni kuwa JF ya leo inawaruhusu pande zote mtukane matusi ya nguoni kadri mnavyopenda. Inasikitisha sana.
Na hizo herufi kubwa ni za nini? Unamfokea nani?
Amandla...
Relate things. Alikuwa na umri gani? Alikuwa na influence gani?Ya Babake hakushangaa anakuja shangaa ya SSH?.
Wewe umechagua kutowasikiliza mie nimechagua kuwasikiliza...Na kila wanachosema polisi ni kweli? Kama ada, unakimbilia matusi. JF kweli imeingiliwa.
Amandla...
Na ni haki yako ya kikatiba kufanya hivyo. Mradi usiwatukane wanao tofautiana na wewe.Wewe umechagua kutowasikiliza mie nimechagua kuwasikiliza...
Hivi watanzania tuna ufinyu gani wa mawazo mpaka watu wanakuja hapa na kuanza kumuamini huyu mdada na wanaharakati wenzake wasio na faida na taifa letu?
Kumbe ni kweli?Unafanya ugaidi alafu unaacha nyayo zote kwenye laptops na simu...hii ndio akili ya kamanda wa anga
Unaonekana una busara, i take back my offensive words......Na ni haki yako ya kikatiba kufanya hivyo. Mradi usiwatukane wanao tofautiana na wewe.
Amandla...
She is older nowRelate things. Alikuwa na umri gani? Alikuwa na influence gani?
alitaka awe na akili kama za kwake za kushabikia mapunga? wewe binti wa rais wa zamani ulishapoteza akili.