Fatma Karume: Kwa mara ya kwanza naona aibu kuwa Mzanzibari

Atakuwa anasubiria kipindi cha kampeni 2025
 
Mimi kwa mara ya kwanza nimeelewa kwanini shetani (nyoka) alimtumia Hawa kumdanganya Adam.
Maana hutaipata nakwambia! Labda kama fasiri yako iwe ile la military target to attack - lengo huwa na weak or strong points?
 
Kwani babu yake Mzee Karume alikuwa ni Mkenya? Ukatili na udhalimu mkubwa umefanywa na Babu yake alipokuwa Rais wa Zanzibar. Asijitoe akili kuwa Wazanzibar hawawezi kuwa Waovu.
Hivi Mzee Abeid Karume ni baba yake au babu yake?
Ninavyo fahamu ni baba yake mzazi, yule wa 2000, Amani Karume (Ahmada) ni Kaka yake
 
Mbunge Rorya miaka nenda rudi aliyeshindwa hata kuleta Barabara urefu wa kiatu chake... ,,,,, MWISHO WA SIKU BILA UNAFKI MAISHA HAYAENDI...
 
Usitikise kibiriti kwa dola ya TZ, waliambiwa, wakashauriwa, bado wabishi kama msh..a, haya sasa...
 
Tuliambiwa anatupeleka nchi ya ahadi [emoji56][emoji56]huenda ndio hiyo Mbowe anaanza kwenda yeye[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
 

Who told you i have low IQ? Ww unaemtetea Div 0 ya Mbowe na follower wake na Mm wa First Class nani hana akili? Jibu mwenyewe sasa
 
Mi nilichoka aliposema watia nia ya urais wa mwaka 2025 eti wasubiri kwanza!
Nalog off
 
#HeIsNotATerrorist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…