Fatma Karume na Deni lake kwa Musiba itakuaje?, Ukiona mwenzio ananyolewa....

Pesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera
Deni ni deni tu, bado Musiba ana deni kwa familia ya marehemu. Kwahiyo punguzeni furaha zenu Membe kaondoka ila deni lipo pale pale, wana familia wa marehemu wanataka urithi wao!!!!!
 
Temporal correlation doesn't necessarily entail causation
 
Maisha ya Kila mwanadamu anayapanga Mungu, Fatuma kama anachodai ni haki yake sidhani kama nahitaji kuwa na hofu Bali kuipambania iliyo haki yake
 
Mnayakuza haya mambo mwishowe mtengeneze picha ionekane kama vile.... kumbe ni mipango ya Mungu tu.
 
Pesa alidai Kwa kukomoa na chuki za kishetani kabisa na lengo la kumkomoa msiba ni Kwa sababu ya ukarbu wa Msiba na Maghufuli , moja ya kesi ya kihuni Sana na ya uonevu mkuuu, Mungu ameamua kumshusha huko huko Ahera
Nawewe tukana ili ukidaiwa usamehewe.
 
Wewe nyau.... Deni halilipwi. Mi ndo nakuambi sasa. Na ukikomaa kichwa tusije laumiana hapo baadaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…