Fatma Karume na Deni lake kwa Musiba itakuaje?, Ukiona mwenzio ananyolewa....

Kifo hichi hakina uhusiano wowote na Musiba.
Huwezi kuzuiliwa kuingia mbinguni kisa hukusamehe deni.
Deni ni haki, hivyo una haki ya kupata haki yako na una haki ya kusamehe haki yako.
Nyumbu nyie
 
Musiba popote ulipo lipa hela ya watu vinginevyo unatupiwa popobawa litakutafuna deile hadi unaingia kaburini
 
Sasa kama hivyo ndio aitumie kwa wenzake,🤔
 
Yaani leo kila mtu atasema lake.
Yaan huu msiba hadi marehemu kupumzishwa, watu watakua wako hoi sanaa, sio kwa heka heka hizi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Musiba popote ulipo lipa hela ya watu vinginevyo unatupiwa popobawa litakutafuna deile hadi unaingia kaburini
Angetupiwa mda jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Familia itaogopa kudai, uchawi wa ukara umeuzidi wa Rondo.
Mweeeeeeeh
 
Akikazia tu hukumu na yeye,"niagieni niagieni".

Watakaopeleka pua kwenye huo mnada nao wembe ni uleule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…