Fatma Karume: Serikali imlinde Tundu Lissu na familia yake, tusikubali mtu apigwe risasi kwa sababu ya siasa


Ndio maana anarudi.
 
Mh 🤔🤔 kwan S/Gang wanasemaje?
 
..wanadai walinzi wake ndio waliomuambukiza corona.
Halafu baada ya hapo wakampa habari lisu? Mana lisu alikua wa kwanza kutweet kuwa rais wetu kafariki na alisema kaambiwa na sources zake za kuaminika toka marekani. Sasa sisi tunataka atuelezee zaidi mana inaonekana alifahamu vizuri mlolongo mzima wa Rais wetu kuondoka
 

..wengi walikuwa wanajua kuwa Jpm amefariki ila hawakuwa na ujasiri wa kutoa taarifa.

..haiwezekani Raisi afariki ktk jiji kubwa kams D'Salaam halafu kifo chake kiwe siri.

..angefia Chato wangeweza kuficha siri yao kwa muda mrefu zaidi.
 
Naunga mkono ushauri wako, Ulinzi kwa Lissu ni haki yake na anastahili. Lakini tumuombe na yeye aje na siasa zenye Tija na sio za udanganyifu.
 
..wengi walikuwa wanajua kuwa Jpm amefariki ila hawakuwa na ujasiri wa kutoa taarifa.

..haiwezekani Raisi afariki ktk jiji kubwa kams D'Salaam halafu kifo chake kiwe siri.

..angefia Chato wangeweza kuficha siri yao kwa muda mrefu zaidi.
Kwanini unamsemea? Sisi tunataka kufahamu mamlaka ya kutangaza kifo cha rais wetu kwenye ukurasa wake wa mtandao wa udaku aliitoa wapi. Source zake za marekani alizosema 'zimemhakikishia' rais wetu kafariki nazo zilikuwepo dar es salaam?
 
Kwanini unamsemea? Sisi tunataka kufahamu mamlaka ya kutangaza kifo cha rais wetu kwenye ukurasa wake wa mtandao wa udaku aliitoa wapi. Source zake za marekani alizosema 'zimemhakikishia' rais weru kafariki nazo zilikuwepo dar es salaam?

..jaribuni kulifikisha suala lenu MAHAKAMANI.

..huwezi kujua taarifa gani zaidi mtazipata kupitia shauri lenu.

..Mahakama inaweza hata kuitisha UCHUNGUZI kuhusu kifo cha Jpm.
 
Mmoja wapo Leo kalewa kwenye mkutano, kwanini mnamuogopa kumtaja?
 
Mahakamani hatuendi. Tutalimaliza kwa style ileile waliyoitumia waliolianzisha

.🤣🤣

..kwa hiyo shida yenu ni Lissu kutangaza kifo cha Jpm?

..hamna shida na wanaosemekana wamemuua Jpm?

..kwani Lissu asingetangaza nini kingebadilika?

..Hiyo siri mlitaka mkae nayo kwa muda gani?
 
Marehemu atakua anapata tabu sana huko alipo damu alizokunywa ni nyingi sana.
 
upuuuz mtupu tanzania ina watu milion 62 yeye alindwe kama nan akae kwake hakuna wakumshambulia aishi kama alivyokuwa anaishi awali nchi yetu ni ya amani hata huyo lema alienda huko kwa manufaa yake binafisi na wala siyo mkimbizi
Baba yenu marehemu alikua muuaji ngoja tumuone huyu bibi ushungi ila huwa nina imani waislam wengi hawana roho mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…