Si walisema Magufuli ndio aliagiza kama kweli walikuwa wanaamini hivyo wasiwasi wa nini leo.
Magufuli hayupo, Kamanda Sirro hayupo, DC Athumani hayupo, Makonda hayupo, Mambosasa yupo makao makuu na admin work za jeshi la polisi.
Sasa wanamuogopa nani tena leo.
Mh 🤔🤔 kwan S/Gang wanasemaje?Wakili Fatma Karume amezungumza na Wakili TV na kufafanua mambo kadhaa ikiwemo kuhusu hali ya demokrasia nchini, siasa ya Tanzania na kurejea kwa Tundu Lissu. Huyu hapa anafafanua:
Nikiwa kama Rais mstaafu wa TLS nimefurahi sana kusikia Tundu Lissu anarudi Nchini Tanzania kwa sababu mazingira aliyoondokea hayakuwa ya kuridhisha, yalikuwa mabaya sana.
Hatuwezi kukubali mtu apigwe risasi kama vile kwa sababu ya siasa, haikubaliki kwenye Nchi yoyote inayopenda amani na demokrasia.
Nawaomba Serikali watazame hili suala, kwani waliofanya hicho kitendo cha kihalifu hawajakamatwa, ilikuwa ni kosa la jinai la kujaribu kufanya mauaji.
Serikali imekaa kimya, ni muhimu sana wale watu wakamatwe, kama inashindikana kukamatwa basi Tundu Lissu apewe ulinzi, yeye mwenyewe, familia yake wasipitie yale aliyopitia Septemba 7, 2017.
Baada ya Lissu kupigwa risasi, Watanzania tulipata mshtuko mkubwa sana, tulipitia katika kipindi cha traumatic period.
Niwaambie Watanzania wenzangu, kuwa hakuna jambo baya kukaa kimya ukiona uovu, ni jambo baya sana, tumia chochote ilichokuwa nacho kuonesha haujafurahishwa, tumia hata uso wako au sauti yako kuonesha hivyo.
Kukaa kimya na kupiga makofi huku mambo maovu yakitendeka ni kuungana na huo uovu, tusifanye hiyo tabia na tuiache.
Kuhusu ukimbizi wa kisiasa inasikitisha kuna watu walikimbia Tanzania kutokana na mambo ya kisiasa, siasa si ugomvi, siasa ni haki ya kutazama namna nyingine ya kuendesha Nchi, ni haki ya kila mwananchi kufanya siasa.
Kuwa na Wakimbizi wa kisiasa Tanzania ni aibu sana, niwakumbushe hasa CCM hawa wakimbizi wa kisiasa wametokea wakati wa CCM, tumepata wakimbizi wengi tu zaidi ya Lissu na watu kama kina Lema.
Pemba kuna watu walikimbia kwa sababu ya kisiasa, tuache huu ugomvi, tuishi kama binadamu, Tanzania ni kubwa sana, tupo watu Milioni 62, kuna nafasi sote kuishu humu ndani kwa amani.
Japokuwa hatuwezi kubaliana kwa mawazo lakini sote ni Watanzania, tupendane.
Kuhusu Demokrasia Nchini kwetu, tunakwenda hatua mbili mbele tunarudi tatu nyuma, tunakwenda tano tunarudi nne, tupo kwenye transitional democracy.
Tunatakiwa kutoka huko tuingie kwenye Demokrasia, kwa sabababu bado tupo kwenye transitional democracy, hatuwezi kuingia huko bila kubadilisha Katiba.
Lazima tutazama mfumo wetu wa kisheria na Katiba ili tuingie kwenye demokrasia inayoweza stahili na siyo mtu kuingia kwenye madaraka mkukimkuki.
Lisu atuambie zaidi kuhusu kifo cha rais wetu maana alikua wa kwanza kukitangaza
Itafahamika tu..kama aliuwawa au hujuma wahusika watakuwa wasaidizi wake wa karibu.
..Jpm alikuwa na ulinzi mkali kuliko maraisi wote wa Tanzania, na hata Maraisi wa nchi jirani.
Itafahamika tu
Halafu baada ya hapo wakampa habari lisu? Mana lisu alikua wa kwanza kutweet kuwa rais wetu kafariki na alisema kaambiwa na sources zake za kuaminika toka marekani. Sasa sisi tunataka atuelezee zaidi mana inaonekana alifahamu vizuri mlolongo mzima wa Rais wetu kuondoka..wanadai walinzi wake ndio waliomuambukiza corona.
Halafu baada ya hapo wakampa habari lisu? Mana lisu alikua wa kwanza kutweet kuwa rais wetu kafariki na alisema kaambiwa na sources zake za kuaminika toka marekani. Sasa sisi tunataka atuelezee zaidi mana inaonekana alifahamu vizuri mlolongo mzima wa Rais wetu kuondoka
Yule akienda Mbinguni for sure hakuna mbingu! Afe na akafe tena na tena! Shetani mkubwa! Mungu ambariki Dr. Samia.Yule Mzee yupo motoni muda huu
Sio rahisiYule akienda Mbinguni for sure hakuna mbingu! Afe na akafe tena na tena! Shetani mkubwa! Mungu ambariki Dr. Samia.
Kwanini unamsemea? Sisi tunataka kufahamu mamlaka ya kutangaza kifo cha rais wetu kwenye ukurasa wake wa mtandao wa udaku aliitoa wapi. Source zake za marekani alizosema 'zimemhakikishia' rais wetu kafariki nazo zilikuwepo dar es salaam?..wengi walikuwa wanajua kuwa Jpm amefariki ila hawakuwa na ujasiri wa kutoa taarifa.
..haiwezekani Raisi afariki ktk jiji kubwa kams D'Salaam halafu kifo chake kiwe siri.
..angefia Chato wangeweza kuficha siri yao kwa muda mrefu zaidi.
Kwanini unamsemea? Sisi tunataka kufahamu mamlaka ya kutangaza kifo cha rais wetu kwenye ukurasa wake wa mtandao wa udaku aliitoa wapi. Source zake za marekani alizosema 'zimemhakikishia' rais weru kafariki nazo zilikuwepo dar es salaam?
Mahakamani hatuendi. Tutalimaliza kwa style ileile waliyoitumia waliolianzisha..jaribuni kulifikisha suala lenu MAHAKAMANI.
..huwezi kujua taarifa gani zaidi mtazipata kupitia shauri lenu.
..Mahakama inaweza hata kuitisha UCHUNGUZI kuhusu kifo cha Jpm.
Mahakamani hatuendi. Tutalimaliza kwa style ileile waliyoitumia waliolianzisha
Marehemu atakua anapata tabu sana huko alipo damu alizokunywa ni nyingi sana.Si walisema Magufuli ndio aliagiza kama kweli walikuwa wanaamini hivyo wasiwasi wa nini leo.
Magufuli hayupo, Kamanda Sirro hayupo, DC Athumani hayupo, Makonda hayupo, Mambosasa yupo makao makuu na admin work za jeshi la polisi.
Sasa wanamuogopa nani tena leo.
Baba yenu marehemu alikua muuaji ngoja tumuone huyu bibi ushungi ila huwa nina imani waislam wengi hawana roho mbaya.upuuuz mtupu tanzania ina watu milion 62 yeye alindwe kama nan akae kwake hakuna wakumshambulia aishi kama alivyokuwa anaishi awali nchi yetu ni ya amani hata huyo lema alienda huko kwa manufaa yake binafisi na wala siyo mkimbizi