Fatma Karume: Serikali imlinde Tundu Lissu na familia yake, tusikubali mtu apigwe risasi kwa sababu ya siasa

Kwanini unamsemea? Sisi tunataka kufahamu mamlaka ya kutangaza kifo cha rais wetu kwenye ukurasa wake wa mtandao wa udaku aliitoa wapi. Source zake za marekani alizosema 'zimemhakikishia' rais wetu kafariki nazo zilikuwepo dar es salaam?
Pole Sana kwa Kufiwa na Kipenzi chako.

Ndio hatunaye Tena, ameshatangulia iwe kwa corona au kwa kibetri kuisha chaji.

Hizo "abracadabra" wala hazitasaidia chochote.

Mungu aliyemnusuru Lissu dhidi ya Kifo cha Kikatili ndiye Huyo huyo alitoa Kibali Mpendwa wako aende.

Tumrejeshee Sifa, heshima na Shukrani kwa Kuwa amedhihirisha Ukuu wake.
 
Wewe ulipigwa risasi kumi na ngapi,na ukapona na huhitaji ulinzi?
Kama hujawahi kupigwa risasi,hebu siku moja upigwe risasi mbili tu au moja,labda kisa unakosoa serikali,ukipona usihitaji ulinzi na ujitokeze hadharani uwe wa mfano,useme kua 'mbona mimi nilipigwa risasi na watu wasiojulikana,na hawajatiwa nguvuni,na bado sihitaji ulinzi?'
Hakika utaeleweka zaidi,omba ufanyiwe shambulio ili uwe shuhuda.Sema amen.
 
Asante sana kwa kunipa pole mtanzania nliyefiwa na Rais wetu. Lisu atakufa nae. Wewe pia utakufa. Kwahayo pole na wewe pia. Kuhusu hizo ulizoziita 'abracadabra' ambazo umedai hazitasaidia chochote ningekushauri tu uuache muda uchukue nafasi yake, utakuja kujionea.
 
Mhh, je 1964 Hadi 1972 ilikuwaje,
 

Una wivu uliojikita kwenye hasira!! Umeshindwa kujiuliza jambo dogo sana, kama ni raia wa kigeni - anakujaje kujihusisha na siasa??? Au una ushahidi gani ni raia wa kigeni? Au kwa kuwa anaishi usipoishi wewe ndio unasikia hasira??

Special treatment unayolalamikia pamoja na kujifanganya wananchi wote wana haki sawa anapewe mpaka mkuu wa wilaya!! Kinachomfany aonekane kustahili ulinzi tofauti (hata kama ni binafsi) ni UKWELI kuwa waliofanya shambulio lile hawakuwahi kukamatwa na haijulikani kama bado wanataka kutekeleza azma yao.

Mkuu wivu huleta upofu wa filra na hasira ndani ya mtu! Punguza utakuwa binadamu!!
 
Kwa maana hiyo watu wote waliojeruhiwa kwa mishale, mapanga, mikuki, nk nao wanastahili kupewa ulinzi maalumu. Au unataka yeye apewe ulinzi maalumu kwa kuwa ni mwanasiasa, au kwa kuwa alijeruhiwa kwa risasi? Raia wengine waliojeruhiwa na majambazi mbona huombi wapewe ulinzi maalumu? (Majambazi pia ni watu wasijulikana)
 
Lissu anajua,ila waliomuua Jpm hawezi kuwafahamu. Wabaya serikalini walimpa taarifa kwa wakati za kifo Cha Jpm kwa sababu walijua uadui uliopo baina yake na magufuli na pia ni Msiri hawezi kusema Nani alimpa taarifa hizo kutoka serikalini
 
 
Kwan akina jilala, etwege magonjwa mtambuka countrywide ussr na wengine wanasemaje?
 
Kwani Hao uliowataja ndiwo walikamata bunduki wakafyatua risasi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…