Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
It is too hard a truth to accept.Huu ndiyo ukweli wenyewe mchungu. Zanzibar ni nchi mojawapo iliyo sehemu ya nchi mbili huru ziundazo JMT. Kwa hiyo stahiki zake zote zitokanazo na mambo yaliyoanishwa ndani ya muungano ni halali yake.
Nasikia walienda kukutupa katikati ya bahari ya hindi..kati ya zenji na bara.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Sababu za kiusalama kivip? maana kila mtu atakuwa na mipaka yake na atajua namna ya kujilinda, mkuu hii sababu haina mashiko, Israel kazungukwa na maadui lakini ajatafuta muungano katafuta namna ya kujilindaInahitajika kwa sababu za kiusalama tu hakuna la zaidi labda kama wewe unalijua lingine
Huyu dada ana akili timamu kweli? Sio kupayuka payuka tu kama vile yeye ni special one. Tanzania gani anayoitetea kama analeta siasa hizi za kubabaisha? Asisikilizwe.Fatuma Karume amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inaidai Serikali ya Jamhuri ya Muungano kiasi cha pesa cha trilioni 4.6 kutokana na kupokonywa kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo
Fatuma Karume ambaye mara kwa mara hujimwambafai kukulia Ikulu ya Zanzibar na hivyo kuwa anafahamu siri nyingi ameandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Serikali ya Muungano imekuwa na kasumba ya kuipora pesa Zanzibar ambazo zipo Kikatiba na Kisheria juu ya Muungano
My take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
USSRView attachment 1768148
Huyo CIA ni muongo kama waongo wengine, kwasababu haiwezekani mwenye huitaji anufaike zaidi kuliko asie na huitaji, yaani Nyerere kazika nchi kubwa ya Tanganyika kwasababu ya kanchi kama Zanzibar! !! ukweli unaonekana wala haitajiki CIA kuteleza hizo propaganda zaoNani aliyeanza kuuomba huo muungano?,karume ndie alikuja usiku wa mansne kwa mashua kuja kuomba msaada KWE nyerere akiwa ameogopa kupinduliwa na akina prof babu,nyerere akamwanbia sina msaada zaidi ya kkuingiza ndani ya nchi yangu,tuungane,hawatakupindua, tafuta andiko la Frank karros aliekuwa balozi na jasusi wa C,I,A,miaka ya 60,
Hii kero mpya? Umezaliwa jana kwani wewe sio? Jitambue kwanza kabla kuongea pumbaMy take : Hawa Wazanzibar hawaridhiki kila siku wanaibuka na kero mpya ifike pahali tuunde Serikali moja including Zanzibar iwe kimkoa tu tutumie nguvu tu
Wakati mnaungana, mliungana na mkoa au nchi?Kwani wameshalipa umeme wa Tanesco unaoenda huko? Kama vp kila mtu abaki kwake tu....yaani kimkoa tu kipewe asilimia 4%.....??
La tanseco ni la Juzi, izo trilioni mkizilipa ndio tutalipia izo bilioni. Ubavu wa kukata umeme hamnaDeni la TANESCO walishalipa?
wazenji bwanaYani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Wabaguzi na chuki za ubinafsiZanzibar ni wabaguzi sana.. Na bado
Hio moja lakini iwe Serikali ya zanzibarTunahitaji kuwa na serikali moja kuondoa haya malumbano
Ndio shida ya ubaguzi... hawa wakija huku wanajidai wenzetu, wakienda kwao wanatubagua.... dawa ni kuwa na Tanganyika yetu tu.Yani unataka tugawane mkopo lakini deni mtuachie tulilipe wenyewe?
Nyie rais wenu anachaguliwa Dodoma na ubavu wa kuvunja Muungano hamna.La tanseco ni la Juzi, izo trilioni mkizilipa ndio tutalipia izo bilioni. Ubavu wa kukata umeme hamna
Wanaokuja kwenye vikao mara nyingi huwa ni watumwa wa wenye manufaa na muungano.Huu muungani ni kama wa kulazimishana lazimishana vile, body language ya wanzabari wakiwa peke yao ni kama hawautaki ...ila wakija kwenye vikao huku bara sijui nini huwapata !!