FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Jana kocha gerardo martino alikosea sana kumfanya song acheze na kuchelewa kumtoa wakati alionekana kapwaya pale kati.na pique anaendelea tu kuboronga na kucheza chini ya kiwango,na hili linafanya uhitaji wa barcelona kusajili beki wa kati kuwa wa lazima neymar hakuwa uwanjani kwa mujibu wangu,ingawaje ni mapema sana ila kwa style hii kuna kila dalili kombe kwenda kwa madrid.
 
Gang Chomba hana nyimbo safari hii maaana hata uefa alhamisi AC Milan itawakosa,wataajiri kila mchezaji aliepita Milan kocha,si ajabu ukasikia Kaka kawa meneja san siro
 
Gutierez inasikitisha saana Barca ikiwa katika kiwango chake cha hali ya juu kupata kutokea imeshindwa kufikia mafanikio ya Milan ile ya Arigo Sacchi...
Sasa Barca hawana tofauti na Mji Mpwapwa shenz type.
 
Nasikitika kumuona Nesi akiwa ametamba kwa kipindi kifuuupi mno.
Ni wazi kuwa habari yake kwa sasa ndo baas tena.
Msimu uliopita kajamba kisha wakala jumla ya goli 7-0 na Bayern...na mwaka huu imedhihirika wazi kuwa mkate haufui dafu mbele ya chai na kisha wamepakatwa na Atretico.
Barca wenye kikosi imara kilichoongezewa nguvu na Neymar kimeahindwa kufudhu hatua ya nusu fainali.
 
Na msimu ujao hakuna kusajili.
Sasa ndo wakati wa kuviona vile viushuzi vyenu sijui Tero, Montoya na takataka nyingize wakiitumikia timu na kupata mafanikio.

Nyani kasoro mikia.
 
Hizo ni salam tu wajomba...nawaahidi kurudi soon na ile ID yangu nguli ya Gang Chomba.
Kisha tutakwenda sawa tu.
 
Gang Chomba hana nyimbo safari hii maaana hata uefa alhamisi AC Milan itawakosa,wataajiri kila mchezaji aliepita Milan kocha,si ajabu ukasikia Kaka kawa meneja san siro


wanasema toa kwanza mwiba wa takoni kisha ndio ukae chini na kuutoa wa mguuni...

Wewe kwanza fuatilia mwenendo wa timu lako kisha ukimaliza ndo uje uwafuatilie 7 tymes european champions league winner.
 


haya mndengereko...
Wenzio wanasema "chamlago kidala...mela mate ugone".
 
Barca game ya kwanza walichumbiwa...
Na game ya pili wakaolewa na kupelekwa honeymoon ambako huko sasa ndo yakawakuta ya kuwakuta.

Mie najiandaa kuwanunulia tenite, poda na baby show...
 
Barca game ya kwanza walichumbiwa...
Na game ya pili wakaolewa na kupelekwa honeymoon ambako huko sasa ndo yakawakuta ya kuwakuta.

Mie najiandaa kuwanunulia tenite, poda na baby show...

cc; ALEYN gutierez
 
Last edited by a moderator:

Huyu jamaa yako ndio maana anachapika kwa ban kila kukicha yaani anaropoka kama kalishwa usembe vile kwa mwendo huu atabadiri majina kila siku kama nywele vile, anashindwa kujizuia hizo sarakasi zake za taulo bila kutanguliza boxer ndani.
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa yako ndio maana anachapika kwa ban kila kukicha yaani anaropoka kama kalishwa usembe vile kwa mwendo huu atabadiri majina kila siku kama nywele vile, anashindwa kujizuia hizo sarakasi zake za taulo bila kutanguliza boxer ndani.

Bwahahahahahahahaaaa

Huyu ndugu yangu huwa ananipa burudani tu.

Wape pole wenzako
 
Bwahahahahahahahaaaa

Huyu ndugu yangu huwa ananipa burudani tu.

Wape pole wenzako

Nasubiri droo ya nusu itakavyokuwa, sitamani kabisa kupangwa na A.madrid jamaa hawasomeki kabisa lkn Chelsea na Bayern ni wakawaida sana nikipewa hao safari ya Lisbon ni nyeupe kabisa.
 
Huyu jamaa yako ndio maana anachapika kwa ban kila kukicha yaani anaropoka kama kalishwa usembe vile kwa mwendo huu atabadiri majina kila siku kama nywele vile, anashindwa kujizuia hizo sarakasi zake za taulo bila kutanguliza boxer ndani.


wanasema ukiona pampas ya mtoto imetuna ujue ndo tayari hivyo...

Teh teh Barca wazoefu wa kubakwa.
Nesi wowowo limemtepeta...shenz type
 
Gutierez na Alleyn njoeni mlinakshi jukwaa lenu kwa mbwembwe na porojo za mitaa ya Lamasia Catalunya...

Msipokuja basi kesho ntalitumia jukwaa hili kuweka matangazo ya waganga wanaoongeza nguvu za kiume na mvuto hata kwa aliekufa.
 
Nasubiri droo ya nusu itakavyokuwa, sitamani kabisa kupangwa na A.madrid jamaa hawasomeki kabisa lkn Chelsea na Bayern ni wakawaida sana nikipewa hao safari ya Lisbon ni nyeupe kabisa.


madrid bila Ronaldo ni sawa na gagulo bila 'pichu'...ukija upepo tu basi umebaki uchi.

Na yule Abdalah Pepe yaani hana hata nafasi kwenye chama langu tukufu la mchangani yaani Abajalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…